CPA or BACHELOR DEGREE?

Kelvin A. Mtoma

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
208
Reaction score
187
Habarini wanajamvi, mimi ni mfanyakazi ninayejiendeleza ki-elimu na Juni mwaka huu nataraji kumaliza Diploma ya Uhasibu. Natamani sana kuendelea zaidi ya hapa kwa kuwa nafanya vizuri. Naombeni ushauri wenu niendelee na ngazi ipi kati CPA au DEGREE na faida zake angalau nipate mwanga
 
Soma degree kwanza... cpa nyingi wanachujua wenye bachelor ni nadra sana kukuta wanataka mhasibu mwenye cpa ambaye ana diploma.. always Degree ndio wana prefference na Cpa iwe added advantage
 
Ndugu diploma halafu CPA hapo unajipotezea muda tu hebu cheza fair play
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…