CPA review

TIKEI

Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
62
Reaction score
6
Nahitaji contact info za kituo cha AFC plz naomba mwenye nazo anisaidie
 
uyujaa yuko vzr sana nilikaa miez miwil nikapata kazi ila kwa concept zake nimetoka ngawa nilikua busy sana edson leonce yuko poa
 
uyujaa yuko vzr sana nilikaa miez miwil nikapata kazi ila kwa concept zake nimetoka ngawa nilikua busy sana edson leonce yuko poa

Yuko wapi mkuu hapa dar or? Kama ni dar ni maeneo gani?

Na pia kama kuna mtu ana contact za Rashid wa pale boma ilaila tusaidiane
 
Yuko wapi mkuu hapa dar or? Kama ni dar ni maenei gani?

Na pia kama kuna mtu ana contact za Rashid wa pale boma ilaila tusaidiane

Rashid hua anafundishia pale Boma shule ya msingi,Edson anafundishia Mnazi mmoja shule ya msingi mkabala na ofisi za ccm lumumba
 
Rashid hua anafundishia pale Boma shule ya msingi,Edson anafundishia Mnazi mmoja shule ya msingi mkabala na ofisi za ccm lumumba

Rashid najua alipo ila nilikuwa nashida ya contact zake maana sijajua kama wameanza au la..

Hapo mnazi mmoja nilikuwa nafahamu kituo ila nilikuwa sijui kama muhusika ni huyo Edson . Thanks mkuu, ingawa module E wengi nilikuwa naona wanapenda kwa Rashid na F wanapenda kwenda hapo mnazi mmoja...sijui nani ni mzur kati yao
 

Module E nilipiga kwa rashid na nilitoa kwa single sitting, yuko vizur jamaa ila kwa edson sina taarifa sahih.
0652080000/0756347331 namba za rashid
 
Module E nilipiga kwa rashid na nilitoa kwa single sitting, yuko vizur jamaa ila kwa edson sina taarifa sahih.
0652080000/0756347331 namba za rashid

Thanks mkuu Rashid anawachomoa sana E . F wengi ndio hupenda kwenda kwa huyo Edson... by the way nilipoyeza namba zake nashukuru kupata maana nilisoma pale module E nikaachia njiani.
 
Thanks ila kwa Edson ratiba inaumiza sana
 
Mm nimemaliza E yote sada hayo ya F ratiba ya edson inanifanya week nzima busy na hiz kaz zetu inakuwa ngumu kujisomea
 
Yuko wapi mkuu hapa dar or? Kama ni dar ni maeneo gani?

Na pia kama kuna mtu ana contact za Rashid wa pale boma ilaila tusaidiane

yupo mnazi mmoja shule ya msingi opposite na makao makuu ya ccm

namba ya kodineta 0714 971198
 
Jaman mnajua CPA imebadilika sa hiv hakuna mambo ya module ni intermediate na professional kwa wale wa awali wanaanza na foundation Kama kawaida sasa hivi umapiga 2 seat unakula CPA
 
Jaman mnajua CPA imebadilika sa hiv hakuna mambo ya module ni intermediate na professional kwa wale wa awali wanaanza na foundation Kama kawaida sasa hivi umapiga 2 seat unakula CPA

Tunajua ndio na masomo yameongezeka intermediate kuna pepa sita na final stage pepa nne so jumla ili upate cpa unafanya pepa 10 na sio 6 kama zamani.
 
Jaman mnajua CPA imebadilika sa hiv hakuna mambo ya module ni intermediate na professional kwa wale wa awali wanaanza na foundation Kama kawaida sasa hivi umapiga 2 seat unakula CPA

mkuu kuna intermediate stage ina masomo 6 na final stage ina masomo 4
 
Kwa wale mko Moshi, mtafuteni, Mwakilema, huyu jamaa ametoa CPA 26, kati ya watu 69, na wanafunzi bora juu
 
mkuu kuna intermediate stage ina masomo 6 na final stage ina masomo 4

So kwa mm ambaye nimemaliza E na na F niliseat maybimegoma nimepata moja tu audit. Nitakuwa na masomo mangap?
 
So kwa mm ambaye nimemaliza E na na F niliseat maybimegoma nimepata moja tu audit. Nitakuwa na masomo mangap?

Unafanya masomo matatu.M.A,AUDINTING na CORPORATE REPORTING
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…