CR7 akutwa na COVID19

CR7 akutwa na COVID19

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Taarifa toka kambi ya timu ya taifa ya ureno zinasema kuwa cr7 ana corona na ameondolewa kwenye kambi hiyo ili kushughulikia matibabu.
Namtakia apone haraka maana uefa inakaribia

Source: Supersport

Mytake
Kuna kiongozi alituambia Covid19 haiwapati watu wa mazoezi
 
Taarifa toka kambi ya timu ya taifa ya ureno zinasema kuwa cr7 ana corona na ameondolewa kwenye kambi hiyo ili kushughulikia matibabu.
Namtakia apone haraka maana uefa inakaribia

Source: Supersport

Mytake
Kuna kiongozi alituambia Covid19 haiwapati watu wa mazoezi
Atapona Inshaalaaaah
 
Back
Top Bottom