ukiwa unaenda kwenye vyumba vya kulala lazima upandishe ngazi moja. Sasa hapo katikati kumetokea ufa mkubwa kwenye ukuta ambao unashililia hizo sides 2, umeanzia chini mpaka juu. Ufa huo umeendelea mpaka umeanza kuweka cracks kwenye gypsum na kwenye madirisha ya upande wa chini.
Wataalamu wa ujenzi naomba ushauri nini kifanyike ili kuinusuru hii nyumba, maana naona kama vile itabomoka kabisa.
Wataalamu wa ujenzi naomba ushauri nini kifanyike ili kuinusuru hii nyumba, maana naona kama vile itabomoka kabisa.