Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
shikamoo
94 ulikuwa bado unavaa nepi wewe eh? Au ulikuwa hujazaliwa bado?
nilikua mtoto wa miaka kadhaa sio wa nepi
New Flavour in your Ear.
Teh teh...si ajabu bado ulikuwa unajisaidia kwenye pichu!
Au ulikuwa ushakuwa potty trained?
hahaha wewe NN wewe miaka hyoo kulikua na potty training kweli? miaka hyo mama anakaa chin ananyoosha miguu anakuweka hapo ujisaidie..ipo zaid usukuman
Ndo potty training yenyewe hiyo. Sema tu ni ya kienyeji zaidi!
Kwa wale wahenga wenzangu wapenzi wa hip-hop lazima mtakuwa mnamjua emcee aliyetamba mwaka 1994 na kibao chake cha ‘Flava In Ya Ear’.
Habari zinasema kuwa alifariki jana Jumatatu kutokana na matatizo ya moyo.
1994 naikumbuka kama ilikuwa jana vile.
Ngoma yenyewe hii hapa.
Remix yake hii hapa....ni legends watupu humo.
Pumzika kwa amani Craig Mack. Your hit was part of the soundtrack to my coming up!
Rap Pioneer Craig Mack Dead At 46
Dogo Nyani Ngabu huyu aliyefaiki hapa Tanzania alikuwa ana umuhimu gani?
hhhaaaa dah ccm wametufikisha hukuDogo Nyani Ngabu huyu aliyefaiki hapa Tanzania alikuwa ana umuhimu gani?
hahaaaaAlituburudisha vijana wa Kitanzania kwa wakati huo.
nimecheka jibu ulilomatia Jamaa ..kwa sbabu hakutegemea kama ungekuwa na jibu stahiki kama hilo ""Unacheka? Ni kweli aisee!
Au burudani si kitu cha muhimu?