Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Hivi wewe Paul S.S ulichokiandika kina relate na nilichokiandika mimi kweli?
Halafu sitaki malumbano na muda wa kusoma magazeti sina, nimesema nilichotaka kukisema, wewe pia ungesema yako...hivyo tu yani.
USINIHARIBIE KARAMU!

Ha haaaa
Pole dada yangu kama nimekukwaza
Nilikua najaribu tu kukuandaa kisaikolojia kwamba kama mafanikio ya chibu yanakutukanisha mtaani basi jiandae kweli kweli kutukanwa
 
Last edited by a moderator:

Our patriotism goes with VEE MONEY she's the only one who can make us proud. VOTE FOR DAVIDO VOTE FOR VEE MONEY
 
Naona ni jinsi gani watanzania ujinga unavyo tutafuna,Diamond ana represent Tanzania sasa unapo sema jinsi ya kumpigia kura davido na wiz kid unaonyesha ni jinsi gani ulivyo ni mtu wa ajabu.
 
Watanzania tunasahau sana...
alifuta fasta ile post baada ya kugundua makosa ila mond kashikilia umakombo wetu
kumbe jee
yaan mungu akituuliza atupe nini (zawadi) ila atamgia mond mara mbili kile atakachotupa
mfano:ampe kiba tuzo kumi na mond apewe ishirini....amfanye kiba milionea na mond bilionea BASI SISI TUTAMJIBU MUNGU AMFANYE KIBA KIPOFU JICHO MMOJA ili MOND apofushwe macho mawili
 
hakumuita joketi kombo?KAMA HAKUONGEA kwa nini hakukanusha ile habari hata kwa kutumia account fb zake kma media zinapotosha???

kumuita x kombo ni sawa kunitukana pia mimi kwa kuwa nina x wangu so najihisi makombo

+ha haa haaa nyie watu mnachekesha sana mimi nimekuuliza wewe unipe uthibitisho alisemea wapi na wewe tena unaniuliza mimi:what:

+yaani kabla ya kufuata mkumbo jiulize kwanza hizi habari ni za kweli au vipi. sio kusikia tu watu fulani wanamchukia na wewe unaendaenda tu kwa hisia!

+so kama ni habari za ukweli lete uthibitisho kutetea hoja yako, tujadili km member wa jf sio member wa fb.
 
Naona ni jinsi gani watanzania ujinga unavyo tutafuna,Diamond ana represent Tanzania sasa unapo sema jinsi ya kumpigia kura davido na wiz kid unaonyesha ni jinsi gani ulivyo ni mtu wa ajabu.

VEE MONEY anawakilisha TANZANIA Na KURA Tutampigia Mtanzania mwenzetu. Ndomo sio mtanzania ni raia wa Tandale atapigiwa na wananchi wenzake wa Tandale
 
Sio kujisahau huku ni kujitoa ufahamu!!
alifuta fasta na hata asingefuta haiumizi kama kutukana na au kudharauliwa na mmbongo mwenzenu kwa kutuita wanawake makombo baada ya kuoa mganda
 
Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************
VOTE kwa VANESSA MDEE na DAVIDO kwa kutumia link hii hii aliyoweka huyu MSUKULE
 

Simpigii
Kwani si ana mashabiki zake?
 
Watanzania mna muda wa kijinga sana.. Yani kabisa unapoteza bundle na muda wako kupiga kura eti umkomoe Diamond teh teh teh
 
Ni upuuzi kipindi cha kura kuja kutulilia tumpigie kura dai in the name of the so called uzalendo, alafu mkibeba tuzo mnarudi kututukana, huo upuuzi hatutaki tena uje kujirudia.

Vote for Davido. OVER

Ha ha haaa
Rahaaa
 
usi ni mention wala usi niite kwenye thread za kixnge xnge kama hizi mburula wewe!

Hahahahaaa, ama kweli busara za mtu hujulikana pale anapofurahi kupitiliza and vice versa.

Sasa mkuu wewe si ndiye uliyecomment na kufuta ndio maana ukaulizwa kulikoni?
Kwani jamaa kakuita au ni wewe uliyecomment kwanza?
 
habari ya uongo hukanushwa kukaa kimya ina maana ile habari ni kweli, leta kanusho nimpigie kura
 
Hahahahaaa, ama kweli busara za mtu hujulikana pale anapofurahi kupitiliza and vice versa.

Sasa mkuu wewe si ndiye uliyecomment na kufuta ndio maana ukaulizwa kulikoni?
Kwani jamaa kakuita au ni wewe uliyecomment kwanza?

stay away from this pliz!
 
Ha haaaa
Pole dada yangu kama nimekukwaza
Nilikua najaribu tu kukuandaa kisaikolojia kwamba kama mafanikio ya chibu yanakutukanisha mtaani basi jiandae kweli kweli kutukanwa

Yaleyaleee, kwani mimi nimesema natukanishwa na mafanikio yake au yeye na mashabiki zake? (Wewe pia ukiwemo).
Mafanikio ya kupata nominations? Hahahahaaa.
 
Kweli hakuna namna nyingine sasa, mkuu tupia link ya Davido tumpe kura mwafrika mwenzetu maana hata waasisi wetu Nyerere na Nkwame nkurumah walisisitiza umoja wa Africa.

Africa kwanza Tanzania badae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…