Crazy things you did in secondary school

Niliwakimbizaga sana advance pale hge pandahill sikuwahi toka wa kwanza na hata tabia zangu nikiwa darasani ni tofauti kabisa na bwenini dorm mimi ni bonge la businessman kuuza chakula tu na vitu nje jiwe la kutosha sana nilikusanya ebhanae si ma snitch wakanichoma kwa bochu asee ndo nikagundulikaga huyu jamaa ni nyokaa 😂😂😂 walinipiga sana watu wangu wa pandahill wanaelewa show zao na mpka zile zawadi za kuwa wa kwanza walininyimaga 😂😂😂 asee ila nashukuru Mungu hawakunifukuza maana wangetoa kijiti 😃😃😃
 
Hahaha Enzo za makimaster au Nani?? Sembe
 
Nime cheka kinyama 😀🤣
 
Shangazi Madame B ulikuwa mtu mbadi😁🤓
 
Nilikamatwa nimeiba mapera shamba la shule na headmaster, Kulwat Rai Chaudri nikapewa adhabu ya kula mapera yangu assembly next day, si nikabugi nikaja na kisu. Nilipigwa suspension ya juu kwa juubila hata ya kusikiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…