wewe ni meneja wa hiyo branch nini?maana yake ndio kauli za mameneja wa bank za kitanzania.shame on u.nenda.
CRDB wameshiba sasa, sie tulienda CRDB tawi la Mabibo Hostel hapa Dar kufungua akaunti ya shirika letu...siku ya kwanza tukarudishwa na kuombwa tupeleke nyaraka husika, siku ya pli tukapeleka kila walichotuomba ambacho kilikuwa kimeorodheshwa kwenye karatasi lao, yule mama wa pale CRDB...kachoka kweli, akasema itabidi tumwachie katiba yetu na nyaraka zingine ili azipitie kisha tuje kesho yake sasa kufungua akaunti. Imagine, wakati tunatafakari, akarukia na kusema hata hivyo naitaka katiba original, tukamwambia kuwa , tumekuja jana ukatuambia tulete document husika, tumeleta zote tena unatuomba katiba halisi ambayo hukutueleza na tayari tumeisha tumia siku mbili na unataka kesho tuje siku ya tatu? yule mama akasema siku tatu tu mnalalamika wakati wengine wanatumia hadi wiki mbili kufungua akaunti? Jamani nilishangaa, tukamwomba arudishe nyaraka zetu na ilikuwa kama saa 9:30 jioni, tukaenda katika benki moja ya kigeni KCB ambayo ndani ya dakika 20 wakawa wametufungulia akaunti na kutuomba tukope pesa kama tunataka. Hii ndiyo Tanzania, wakenya watatufundisha biashara
Kwendeni zeni nyi wakenya mmekimbia Njaa kwenu halafu mnakuja hapa TZ tunawasaidia pia mnaketa na Jeuri juu, Kama mmeshindwa kuishi TZ rudini makwenu, Acheni upuuzi wenu kama nyi wajanja Mngekimbia makwenu?.
Toeni upuuzi wenu hapa
hiyo username yako ni wale wale msioweza kuwajibika.AIRTANZANIA IKO WAPI SASA?Kwendeni zeni nyi wakenya mmekimbia Njaa kwenu halafu mnakuja hapa TZ tunawasaidia pia mnaketa na Jeuri juu, Kama mmeshindwa kuishi TZ rudini makwenu, Acheni upuuzi wenu kama nyi wajanja Mngekimbia makwenu?.Toeni upuuzi wenu hapa
mkuu acha tu,halafu wahudumu wa pale wana mapozzz ile mbaya.Mkuu,umenena,huwenda tulikuwa foleni moja hapo branch ya frens kona,nimewahi asubuhi sana nimekaa mpaka sa 4,maneno tu!!Nibank tunayoitarajia sana,ila huenda ikarudi kule kule ambako zipo NBC&NMB!?
we ***** kweli!jifunze kiswahili kwanza ndio upost!Kwendeni zeni nyi wakenya mmekimbia Njaa kwenu halafu mnakuja hapa TZ tunawasaidia pia mnaketa na Jeuri juu, Kama mmeshindwa kuishi TZ rudini makwenu, Acheni upuuzi wenu kama nyi wajanja Mngekimbia makwenu?.Toeni upuuzi wenu hapa
Kwendeni zeni nyi wakenya mmekimbia Njaa kwenu halafu mnakuja hapa TZ tunawasaidia pia mnaketa na Jeuri juu, Kama mmeshindwa kuishi TZ rudini makwenu, Acheni upuuzi wenu kama nyi wajanja Mngekimbia makwenu?.
Toeni upuuzi wenu hapa
Watanzania hatuko makini let the kenyans come and take this market.
we ***** kweli!jifunze kiswahili kwanza ndio upost!
mkuu huyu dada anavaa hijabu anajitahidi sana!hata kama wakikosea basi anajua jinsi ya kuongea na mteja.tatizo kubwa liko Arusha Branch yaani dharau zimewajaa ile mbaya.Kuwa realistic mkuu hakuna mkenya anayeongea hapa bali watanzania. Issue hapa ni customer care na ukweli CRDB mmechoka haswa TAWI LA FRIENDS CORNER ARUSHA. MERU BRANCH NA TRA wako vizuri na mtagundua wateja wengi wamehamia huko. Nichukue nafasi hii ni mpongeze dada yangu mmoja pale Meru Branch aitwaye Mrs Asha Alli Lweno kwa kuifanya ile branch ya Meru
hiyo username yako ni wale wale msioweza kuwajibika.AIRTANZANIA IKO WAPI SASA?
usiwasingizie kina mataka wakati nyinyi wafanyakazi wa cadre ya chini ndio wazembe.Ipo ingawa imebakiaJina lakini naipenda nchi yangu, Subiri aje Kiongozi wa ukweli kama hujaona wakina Mataka na wenzake walioua shirika wakienda JELA