CRDB ARUSHA BRANCH-huduma zenu ni mbovu

muboss yeye huyu wanayemuita kimeyi?
 
Mule mule mukubwa....jamaa anawachapa sana kwa ofa za kupanda vyeo....na matunda yake ndio haya sasa mnayoyaona, huduma zinazidi kuwa mbovu kila kukicha...
duh nguvu zinaniisha!
 
duh nguvu zinaniisha!

Ndio dhamana tuliyowapa hawa wenye vyeo hapa nchini kwetu mkuu. Kawapa makid wake vyeo vya maana bila hata qualifications zinazoeleweka, ukienda branch ya UDSM binti yake ndiye branch manager. Kwa kifupi jamaa ni km ana mapepo ya kuvuruga amri ya sita...
 
kumbe kiburi cha Fransisca Masika kinatokana na ....na....bosi!
 
Kwendeni zeni nyi wakenya mmekimbia Njaa kwenu halafu mnakuja hapa TZ tunawasaidia pia mnaketa na Jeuri juu, Kama mmeshindwa kuishi TZ rudini makwenu, Acheni upuuzi wenu kama nyi wajanja Mngekimbia makwenu?.

Toeni upuuzi wenu hapa
Mimi hutumia sana KCB kutuma au kuchukua hela kupitia western union. Hawa jamaa wa KCB wapo vizuri, angalau kwa matawi niliyotembelea!

hapo FC kufungua akaunti ilinichukulia muda sana. Kaunta ya mapokezi imejaa "trainees" na hakuna namna nzuri ya kumuuduamia mteja. Vimemo vinapita tu. Ni heri waanzishe mfumo wa huduma ya kutoa huduma kwa namba!

Tatizo ATM nyingi za kwenye mabenki yetu ni mitumba
tena ni nzee kweli kweli, hasa za NBC na NMB.
 
Kwendeni zeni nyi wakenya mmekimbia Njaa kwenu halafu mnakuja hapa TZ tunawasaidia pia mnaketa na Jeuri juu, Kama mmeshindwa kuishi TZ rudini makwenu, Acheni upuuzi wenu kama nyi wajanja Mngekimbia makwenu?.

Toeni upuuzi wenu hapa
We mdau acha mambo ya kifala hawa wakenya sometime tunawasingizia ila ukweli uko wazi CRDB ndio bank number moja inayo boa tz na huduma mbaya kwa sasa than anybank hivyo vitu vyote vilivyo ongelewa hapo juu na wadau wengi vimetukuta mimi mwenyewe imenichukua week moja kufunguliwa just a simple accaount pale mliman city ukiingia utafikiri wao ndio maboss harafu wewe ndio mfanyakazi wao wanataka wewe ndio uanzekuwaongopa nakuwaabudu as if bila hio account yao huwezi kuishi. ukweli mnaboa crdb badiliken
Note: kwa kimei kuna milion moja fresh graduate mtaani wananjaa na kazi mkuu in term of customer service unawa train one week tu wanapiga mzigo anzakufukuza kazi brunch mbili tu hali itabadilika na wata change hao staff wako walio bebana kiundugu.
 
Sema mimi sipo makini, wakenya wakenya,unawafeel sana -thats mental slavery,,,nyambafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…