Banki hiii wezi mpaka Leo....Kwanza kabisa hongera benki ya CRDB BANK kwa huduma mnayotupatia. Pili tunaomba uongozi wa benki kuwabadilisha wafanyakazi wa branch moja kwenda kwingine( kuhamisha wafanyakazi) hili suala litaongeza tija kwa watoa huduma na vile vile itaondoa kero kwa wateja,
mfano unakuta mfanyakazi mmoja anakaa tawi moja kwa miaka zaidi ya kumi inaleta kero sana,waige wenzao NMB ambayo mfanyakazi akikaa baada ya muda anahamishwa kwenda kwingine.
Natanguliza shukrani zangu kwa Charles Kimei na Uongozi wa Bank.
Sasa hiyo hongera umeitoa kwa kutohamisha watumishi?Kwanza kabisa hongera benki ya CRDB BANK kwa huduma mnayotupatia. Pili tunaomba uongozi wa benki kuwabadilisha wafanyakazi wa branch moja kwenda kwingine( kuhamisha wafanyakazi) hili suala litaongeza tija kwa watoa huduma na vile vile itaondoa kero kwa wateja,
mfano unakuta mfanyakazi mmoja anakaa tawi moja kwa miaka zaidi ya kumi inaleta kero sana,waige wenzao NMB ambayo mfanyakazi akikaa baada ya muda anahamishwa kwenda kwingine.
Natanguliza shukrani zangu kwa Charles Kimei na Uongozi wa Bank.
Kwanza angejua hawa CRDB kuwa sio bank inayowasikiliza wateja, asingesema na kuwapa hongera. Binafsi tawi la Lumumba wanavyoninyanyasa kwa pesa yangu!!!!!