CRDB bank ikoje asee(maoni yenu jamani Sina Raha hapa)

CRDB bank ikoje asee(maoni yenu jamani Sina Raha hapa)

Al-habiib

Senior Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
110
Reaction score
151
Habari wakuu, mi Ni mfanya biashara mdogo Ila nmefanikiwa kupata mtaji , Sasa nimeanza ku-import bidhaa kutoka ulaya.
Leo nlikuwa natuma pesa kwenda Barcelona-spain kwa njia ya T/T(telegraphic transfer).
Nikajaza fomu na nikaambiwa lazima niwe na supporting document,hvyo ikanibidi kuambatanisha proforma invoice na sales agreement.
Sasa baada ya kufanya yote hayo,
Eti wananiambia nisubiri masaa 72 manake takribani SKU tatu ndo pesa ifke na ndo ntapata swift advice.
Malalmiko yangu na maulizo.
1.je bank zote zpo hvi, manake wamechukua privacy yangu ya document original (sales agreement na proforma invoice) mazima Yani watakaa nazo .
Inakuaje na wakati nlitumia tu Kama proof na wao kazi yao Ni watume Ela zangu Mimi .
2.Npo tanga , Eti document mpaka ziende headquarter ndo muamala ukamilike, Kuna maana gani ya matawi huku mikoani?
3.kama mfanyabiashara SKU tatu Ni nying, importation inakula Muda ,vpi na wao washindwe kutuma Ela zangu kwa Muda muafaka au haraka.
Kama mtu una matatzio so unadhurika jamani.


MAONI YAKO NI MUHIMU KWA ULIYE WAHI KUTUMA PESA NJE.
USINISHAURI NJIA NYINGINE MANA T/T NDIO NJIA NZURI KWA BULK CASH NA BIG BUSINESS, NATUMA PESA NYINGI, NJIA HII NI SECURED SANA.
 
Nina uzoefu wa kufanya malipo ya nje kupitia bank moja (nilikua nafanya online banking).
Baada ya kuwa nimeambatanisha nyaraka, siku ya kwanza huonesha status ya "warehouse" na siku ya pili jioni ndo status hubalika kuonesha pesa imetoka.
Siku ya tatu napakua swift yangu natuma kwa mpokeaji.
 
Nina uzoefu wa kufanya malipo ya nje kupitia bank moja (nilikua nafanya online banking).
Baada ya kuwa nimeambatanisha nyaraka, siku ya kwanza huonesha status ya "warehouse" na siku ya pili jioni ndo status hubalika kuonesha pesa imetoka.
Siku ya tatu napakua swift yangu natuma kwa mpokeaji.
Hzo status ya muamala unaangalia kwa app ya bank?
Na Ni benk ipi, na ilikuwa unafanya bulk payment?
 
Habari wakuu, mi Ni mfanya biashara mdogo Ila nmefanikiwa kupata mtaji , Sasa nimeanza ku-import bidhaa kutoka ulaya.
Leo nlikuwa natuma pesa kwenda Barcelona-spain kwa njia ya T/T(telegraphic transfer).
Nikajaza fomu na nikaambiwa lazima niwe na supporting document,hvyo ikanibidi kuambatanisha proforma invoice na sales agreement.
Sasa baada ya kufanya yote hayo,
Eti wananiambia nisubiri masaa 72 manake takribani SKU tatu ndo pesa ifke na ndo ntapata swift advice.
Malalmiko yangu na maulizo.
1.je bank zote zpo hvi, manake wamechukua privacy yangu ya document original (sales agreement na proforma invoice) mazima Yani watakaa nazo .
Inakuaje na wakati nlitumia tu Kama proof na wao kazi yao Ni watume Ela zangu Mimi .
2.Npo tanga , Eti document mpaka ziende headquarter ndo muamala ukamilike, Kuna maana gani ya matawi huku mikoani?
3.kama mfanyabiashara SKU tatu Ni nying, importation inakula Muda ,vpi na wao washindwe kutuma Ela zangu kwa Muda muafaka au haraka.
Kama mtu una matatzio so unadhurika jamani.


MAONI YAKO NI MUHIMU KWA ULIYE WAHI KUTUMA PESA NJE.
USINISHAURI NJIA NYINGINE MANA T/T NDIO NJIA NZURI KWA BULK CASH NA BIG BUSINESS, NATUMA PESA NYINGI, NJIA HII NI SECURED SANA.
SWIFT Transfer yeyote lazima uambatanishe supporting documents, hiyo ni sheria ya BoT na muda mwengine wanaweza kukutafuta baada ya miezi kadhaa kukuomba waybill yako ya mzigo ili kuhakiki kuwa kweli ulinunua mzigo na si kutakatisha fedha.

SWIFT huchukua 24 to 72 HRS kwa sababu muda mwingi hupitia Intermediary bank. Mfano unataka kumtumia pesa mtu yupo Spain. CRDB haina relationship na benki yeyote ya Spain hivyo inatafutwa benki moja kubwa ya kati ambazo benki zote mbili zina account kwao. Mara nyingi huwa ni benki za Marekani mfano Standard Chartered New York, JP Morgan Chase,. Na muda mwengine kama hakuna common bank Intermediary bank itatafuta intermediary mwengine mwenye account na connection na benki inayo pokea pesa etc.

Hivo mlolongo wa SWIFT message unakuwa hivi:

CRDB ------> Intermediary Bank (Eg Standard Chartered NY/Bank of America/JP Morgan)-------->Intermediary Bank #2/Receiving Bank ----------> Receiving Bank (Spain)-----------> Receipient

Ndio maana SWIFT huweza kuchukua muda mrefu kufika, lakini hakikisha hao wanaotuma wametuma siku hiyo uliopeleka ili kuondoa delays zaidi.

Pia unaweza kutumia internet banking hii itaokoa delays za foleni na uzembe wa kutuma document makao makuu kwani wewe utazituma moja kwa moja kwa anayeprocess CRDB na pia lazima uambatanishe vyote (Invoices/Contracts, Waybills) kama ulivyoambiwa utoe branch.

Ondoa hofu kuhusu benki "kuchukua privacy yako" kama wewe ni mteja wa benki tayari una bank-client relationship inayolinda confidentiality ya miamala yako kwa wasiohusika na kama mfanyabiashara serious unataka benki ifahamu biashara zako vizuri ili kuweza kutengeneza relationship hapo mbeleni iwe rahisi kukuhudumia au kupata facility.
 
SWIFT Transfer yeyote lazima uambatanishe supporting documents, hiyo ni sheria ya BoT na muda mwengine wanaweza kukutafuta baada ya miezi kadhaa kukuomba waybill yako ya mzigo ili kuhakiki kuwa kweli ulinunua mzigo na si kutakatisha fedha.

SWIFT huchukua 24 to 72 HRS kwa sababu muda mwingi hupitia Intermediary bank. Mfano unataka kumtumia pesa mtu yupo Spain. CRDB haina relationship na benki yeyote ya Spain hivyo inatafutwa benki moja kubwa ya kati ambazo benki zote mbili zina account kwao. Mara nyingi huwa ni benki za Marekani mfano Standard Chartered New York, JP Morgan Chase,. Na muda mwengine kama hakuna common bank Intermediary bank itatafuta intermediary mwengine mwenye account na connection na benki inayo pokea pesa etc.

Hivo mlolongo wa SWIFT message unakuwa hivi:

CRDB ------> Intermediary Bank (Eg Standard Chartered NY/Bank of America/JP Morgan)-------->Intermediary Bank #2/Receiving Bank ----------> Receiving Bank (Spain)-----------> Receipient

Ndio maana SWIFT huweza kuchukua muda mrefu kufika, lakini hakikisha hao wanaotuma wametuma siku hiyo uliopeleka ili kuondoa delays zaidi.

Pia unaweza kutumia internet banking hii itaokoa delays za foleni na uzembe wa kutuma document makao makuu kwani wewe utazituma moja kwa moja kwa anayeprocess CRDB na pia lazima uambatanishe vyote (Invoices/Contracts, Waybills) kama ulivyoambiwa utoe branch.

Ondoa hofu kuhusu benki "kuchukua privacy yako" kama wewe ni mteja wa benki tayari una bank-client relationship inayolinda confidentiality ya miamala yako kwa wasiohusika na kama mfanyabiashara serious unataka benki ifahamu biashara zako vizuri ili kuweza kutengeneza relationship hapo mbeleni iwe rahisi kukuhudumia au kupata facility.
Kaka una shule ya SGR ,nisaidie namba zako au zangu nibeep +255659943041,
Your name is directly proportional to written reply.
 
SWIFT Transfer yeyote lazima uambatanishe supporting documents, hiyo ni sheria ya BoT na muda mwengine wanaweza kukutafuta baada ya miezi kadhaa kukuomba waybill yako ya mzigo ili kuhakiki kuwa kweli ulinunua mzigo na si kutakatisha fedha.

SWIFT huchukua 24 to 72 HRS kwa sababu muda mwingi hupitia Intermediary bank. Mfano unataka kumtumia pesa mtu yupo Spain. CRDB haina relationship na benki yeyote ya Spain hivyo inatafutwa benki moja kubwa ya kati ambazo benki zote mbili zina account kwao. Mara nyingi huwa ni benki za Marekani mfano Standard Chartered New York, JP Morgan Chase,. Na muda mwengine kama hakuna common bank Intermediary bank itatafuta intermediary mwengine mwenye account na connection na benki inayo pokea pesa etc.

Hivo mlolongo wa SWIFT message unakuwa hivi:

CRDB ------> Intermediary Bank (Eg Standard Chartered NY/Bank of America/JP Morgan)-------->Intermediary Bank #2/Receiving Bank ----------> Receiving Bank (Spain)-----------> Receipient

Ndio maana SWIFT huweza kuchukua muda mrefu kufika, lakini hakikisha hao wanaotuma wametuma siku hiyo uliopeleka ili kuondoa delays zaidi.

Pia unaweza kutumia internet banking hii itaokoa delays za foleni na uzembe wa kutuma document makao makuu kwani wewe utazituma moja kwa moja kwa anayeprocess CRDB na pia lazima uambatanishe vyote (Invoices/Contracts, Waybills) kama ulivyoambiwa utoe branch.

Ondoa hofu kuhusu benki "kuchukua privacy yako" kama wewe ni mteja wa benki tayari una bank-client relationship inayolinda confidentiality ya miamala yako kwa wasiohusika na kama mfanyabiashara serious unataka benki ifahamu biashara zako vizuri ili kuweza kutengeneza relationship hapo mbeleni iwe rahisi kukuhudumia au kupata facility.
Internet banking manake nipate app ya crdb sio au Ni vp
 
Internet banking manake nipate app ya crdb sio au Ni vp
Hapana. Hii ni tofauti na simBanking. Unajisajili kisha utapewa logins za kuaccess account yako na kufanya miamala yote ikiwemo ya nje ya nchi kupitia computer yako.

Internet banking ina limitkubwa zaidi ya matumizi kwa siku mfano CRDB unaweza kutuma hadi millioni 200 kwa siku au unaweza kuomba ukaongezewa limit kama bado haitoshi. SimBanking kwa siku mwisho milioni 5, ipo kwa wateja wadogo na huwezi kutuma pesa nje ya nchi kwa simBanking.

Internet banking pia hufanya mengi zaidi kama Bulk payments kuweza kufanya miamala mingi wakati huohuo bila shida, muhimu kama kwenye kulipa mishahara n.k
 
Hapana. Hii ni tofauti na simBanking. Unajisajili kisha utapewa logins za kuaccess account yako na kufanya miamala yote ikiwemo ya nje ya nchi kupitia computer yako.

Internet banking ina limitkubwa zaidi ya matumizi kwa siku mfano CRDB unaweza kutuma hadi millioni 200 kwa siku au unaweza kuomba ukaongezewa limit kama bado haitoshi. SimBanking kwa siku mwisho milioni 5, ipo kwa wateja wadogo na huwezi kutuma pesa nje ya nchi kwa simBanking.

Internet banking pia hufanya mengi zaidi kama Bulk payments kuweza kufanya miamala mingi wakati huohuo bila shida, muhimu kama kwenye kulipa mishahara n.k
Mtahadhilishe pia, onlinebaking wahun wanawezafanya yao.

Chukua hii scenario, miezi michache nilitumiwa envoice in pdf form, sender skumjua ila nilikuwa na local purchases, so nilidhani ni invoice ya hiyo purchase, baada nikajib kama umewrong nikapata notfication kuwa email address not found, kumbk walitumia email ya gmail kunitumia hiyo doc. Kumbe haikuwa doc bali ni virus, very powerful, anaread keyboard, anafunction ya virtual server yaan hata kama pc yako iko off but inakuwa na uwezo wa kufanya browsing virtually, virus anafunction ya remote access yaani kama ile team view ama anydesk applications.

Story isiwe ndefu wahuni baada kunifatilia kwa mwez mzima wakaona cha muhim kwangu ni social media acc za taasisi, wakatempa nazo wakadai niwatumia $500 za bitcoin wakatoa na address.
 
SWIFT Transfer yeyote lazima uambatanishe supporting documents, hiyo ni sheria ya BoT na muda mwengine wanaweza kukutafuta baada ya miezi kadhaa kukuomba waybill yako ya mzigo ili kuhakiki kuwa kweli ulinunua mzigo na si kutakatisha fedha.

SWIFT huchukua 24 to 72 HRS kwa sababu muda mwingi hupitia Intermediary bank. Mfano unataka kumtumia pesa mtu yupo Spain. CRDB haina relationship na benki yeyote ya Spain hivyo inatafutwa benki moja kubwa ya kati ambazo benki zote mbili zina account kwao. Mara nyingi huwa ni benki za Marekani mfano Standard Chartered New York, JP Morgan Chase,. Na muda mwengine kama hakuna common bank Intermediary bank itatafuta intermediary mwengine mwenye account na connection na benki inayo pokea pesa etc.

Hivo mlolongo wa SWIFT message unakuwa hivi:

CRDB ------> Intermediary Bank (Eg Standard Chartered NY/Bank of America/JP Morgan)-------->Intermediary Bank #2/Receiving Bank ----------> Receiving Bank (Spain)-----------> Receipient

Ndio maana SWIFT huweza kuchukua muda mrefu kufika, lakini hakikisha hao wanaotuma wametuma siku hiyo uliopeleka ili kuondoa delays zaidi.

Pia unaweza kutumia internet banking hii itaokoa delays za foleni na uzembe wa kutuma document makao makuu kwani wewe utazituma moja kwa moja kwa anayeprocess CRDB na pia lazima uambatanishe vyote (Invoices/Contracts, Waybills) kama ulivyoambiwa utoe branch.

Ondoa hofu kuhusu benki "kuchukua privacy yako" kama wewe ni mteja wa benki tayari una bank-client relationship inayolinda confidentiality ya miamala yako kwa wasiohusika na kama mfanyabiashara serious unataka benki ifahamu biashara zako vizuri ili kuweza kutengeneza relationship hapo mbeleni iwe rahisi kukuhudumia au kupata facility.
Mkuu una nafasi yako ya kipekee kwenye korido za biotii.
 
Back
Top Bottom