CRDB Bank Moshi huduma ni mbovu

CRDB Bank Moshi huduma ni mbovu

muzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,041
Reaction score
1,457
Yaani tulihama bank yetu pendwa ya wananchi tukitegemea huduma zenu no professional and timely lakini baada ya kupata wateja wengi mmekuwa mzigo. Mtu unakaa masaa matatu kutoa au kuweka hela tena katikati ya week.

Ingekuwa Jumatatu tungesema sawa lakini J5, Alhamis na Ijumaa foleni ndefu. Tumashine vyenu vya namba wala hamfati namba, kama humjui mtu utaganda masaa 2 mpaka 3. Mmeongeza transaction cost na kama commercial banks na mmesahau kuwa mlianza kama benki ya ushirika.

Mbaya zaidi mnavukisha wale mnajuana nao kwa mlango wa nyuma. Mnajifanya na slogan the bank that listen lakini mmekuwa the bank that waste time. Mnasingizia mtandao lakini ukienda bank zingine huduma 20-30 minutes ushahudumiwa. Mnafanya kazi kwa kujuana na wateja, eti corporates customers, wa laki 5?

Acheni ujinga, wateja tuna options za kutosha mpaka SACCOS tunaweka na kuchukua hisa kwa makato nafuu. Next time nitawataja kwa majina yenu na kufunga account.
 
Hiyo ndo first crdb bank branch by then 90's huko Kama ni hapo opp na NBC Kuna shida hapo
 
Tekiketi namba x003 nenda dirisha namba tatu ukienda sasa umkuti mtu wapo busy na smartphone kiukweli na matawi yao yote wapo hovyo hopless kabisa wanachojua kujaza watoto wao na ndugu zao.
Eyewitness sio kuambiwa
 
Kuna tawi la Kyela wee wasumbufu. Wana madirisha manne ila moja au mawili yanafanya kazi. Kuna wafanyakazi kama waliokuwepo miaka fulani sijui kama wapo hadi sasa walikuwa very sharp yule jamaa niliona tu Sign ya Haule walikuwa wawili aise very sharp sana sina hakika mpaka leo kama wapo ama lah ni shida. Ila wanachangamoto hawawezi zidi NMB [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani tulihama bank yetu pendwa ya wananchi tukitegemea huduma zenu no professional and timely lakini baada ya kupata wateja wengi mmekuwa mzigo. Mtu unakaa masaa matatu kutoa au kuweka hela tena katikati ya week.

Ingekuwa Jumatatu tungesema sawa lakini J5, Alhamis na Ijumaa foleni ndefu. Tumashine vyenu vya namba wala hamfati namba, kama humjui mtu utaganda masaa 2 mpaka 3. Mmeongeza transaction cost na kama commercial banks na mmesahau kuwa mlianza kama benki ya ushirika.

Mbaya zaidi mnavukisha wale mnajuana nao kwa mlango wa nyuma. Mnajifanya na slogan the bank that listen lakini mmekuwa the bank that waste time. Mnasingizia mtandao lakini ukienda bank zingine huduma 20-30 minutes ushahudumiwa. Mnafanya kazi kwa kujuana na wateja, eti corporates customers, wa laki 5?

Acheni ujinga, wateja tuna options za kutosha mpaka SACCOS tunaweka na kuchukua hisa kwa makato nafuu. Next time nitawataja kwa majina yenu na kufunga account.

Hamia nmb
 
Kwani lazima crdb si kuna hadi vijibenki kibao vidogovidogo ambavyo vinakimbiza na havina foleni wala longolongo? sio lazima uwe na account huko mkuu temana nao kabisa
 
Customer service bado sana karibu kila sehemu. Mteja bado anaonwa kama ombaomba sijui...
 
Back
Top Bottom