CRDB Bank servises in Nairobi

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
Wakuu napendaa kujua kama kuna mtu anayeweza kunisaidia .
Je naweza kupata servises za crdb bank here in Nairobi?
 
Wakuu napendaa kujua kama kuna mtu anayeweza kunisaidia .
Je naweza kupata servises za crdb bank here in Nairobi?
Funguka bhana,unataka huduma gani za crdb?
Maana naona unajifichaficha kama unakojoa barabarani hivi.
 
Funguka bhana,unataka huduma gani za crdb?
Maana naona unajifichaficha kama unakojoa barabarani hivi.
C

Cha muhimu ni kumuelekeza ilipo bank ya CRDB hapo Nairobi, watu wako tofauti kwenye kujielezea,
 
Funguka bhana,unataka huduma gani za crdb?
Maana naona unajifichaficha kama unakojoa barabarani hivi.
Nataka nitoe pesa kwenye acc . Kadi yangu nimeisahau dsm. Je inawezekana!?
Kama una msaada nisaidie kwa marlezo ila sio maneno maneno ya kitaa.
 
We have to be sincere, there is no any crdb branch in nairobi. qpob4
 
Nataka nitoe pesa kwenye acc . Kadi yangu nimeisahau dsm. Je inawezekana!?
Kama una msaada nisaidie kwa marlezo ila sio maneno maneno ya kitaa.
Mweeee!
Umesahau card?
Dandia mafuso urudie card bhana.........no means!
 
Mimi na wewe nani mkenya?

Kaka nasikia Operesheni Kimbunga ndiyo imekurudisha kwenu..
Karibu tena Tanzania ila siku nyingine usije tena kinyemela Kaka...
Msalimie na Mkenya mwenzako Yo Yo
 
Last edited by a moderator:
Fungueni account kcb kuepuka usumbufu. Hapo uta access account yako popote ulipo EA pamoja na South Sudan.
 
Jamaa mwenyewe anaomba msaada wakati mjuaji au alitaka kutufahamisha kuwa ana account kcb?
 
Mbona siwaelewi?Huyu kaomba msaada,mara umerudi kwenu,mara crdb kila kona tz mara kbc mbona hamueleweki?au ndo malumbano tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…