Hilo libenk kwa nje huwa linajitangaza sana...lakini kwa ndani lina uozo sana...
Uozo mwingine unapatikana pale CRDB - IRINGA BRANCH ....kitengo cha Maulizo! Yaan unaeza simama zaidi ya lisaa, wao wqnapitapita tu mle ndani wakiuza SURA! Mara ashike hiki aache hiki, Yaan kero mtindo mmoja! Akitokea mtu wanaemfahamu ndio bahati yenu wengine!
we pia mzugaji ulichukua hatua gani baada ya kuona cheque book yako inachelewa je ulienda kumwona manager ukamwelezea tatizo lako jamaa wako poa huwezi linganisha na bank yoyote hapa ya kibongo adress tatizo lako sehemu sahihi wafanyakazi sio malaika mmoja mmoja anaweza kosea
Nilifungua account benki ya CRDB mwezi wa March 2013. Waliniahidi kunipatia kitabu cha hundi baada ya wiki mbili.
Imebakia saa moja kuingia mwezi wa june 2013 wameshindwa kabisa kunipatia kitabu cha hundi, kila ukiwauliza wanatoa sababu chungu nzima.
Nashindwa kabisa kuelewa hii benki ilipataje tunzo ya super brand, miezi mitatu sasa hakuna mauzo ya vitabu vya hundi.
Ndugu zangu hivi huduma za benki zingine ni chafu kama ilivyo kwa CRDB Bank?
Najuta na kumlaumu aliyenielekeza CRDB, naomba msaada wa benki nyingine yenye mtandao mkubwa nchini niweze kuwasiliana nao.