CRDB Bank yaondoa rasmi Riba ya Mkopo ya 13% na Sasa ni 16%

CRDB Bank yaondoa rasmi Riba ya Mkopo ya 13% na Sasa ni 16%

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Bank ya pili katika utengenezaji faida nchini imeamua kurejea Riba yao ya awali wanayotoa mikopo Kwa baadhi ya watu, kutoka asilimia 13% iliyopunguzwa muda si mrefu Hadi asilimia 16%.

Hayo yamenitokea baada ya kujaribu kutafuta Mkopo katika bank hiyo, huku wakiniambia mwezi huu tarehe 15 ndo itakuwa mwisho wa mkop wa Riba ya asilimia 13.

Tulitegemea bank kupunguza Riba zaidi na si kuendelea kuongeza kwani hii itafanya Hali ya uchumi kuwa ngumu zaidi.
 
Epukana na riba za benki huwezi kutoboa kifedha na hiza riba
 
Bank ya pili katika utengenezaji faida nchini imeamua kurejea Riba yao ya awali wanayotoa mikopo Kwa baadhi ya watu, kutoka asilimia 13% iliyopunguzwa muda si mrefu Hadi asilimia 16%.

Hayo yamenitokea baada ya kujaribu kutafuta Mkopo katika bank hiyo, huku wakiniambia mwezi huu tarehe 15 ndo itakuwa mwisho wa mkop wa Riba ya asilimia 13.

Tulitegemea bank kupunguza Riba zaidi na si kuendelea kuongeza kwani hii itafanya Hali ya uchumi kuwa ngumu zaidi.
Jiwe Mwamba Magufuli si hayupo?
 
13 zilikuwa ni siasa za kijnga hizo 16 ndo watasaviivu
 
Bank ya pili katika utengenezaji faida nchini imeamua kurejea Riba yao ya awali wanayotoa mikopo Kwa baadhi ya watu, kutoka asilimia 13% iliyopunguzwa muda si mrefu Hadi asilimia 16%.

Hayo yamenitokea baada ya kujaribu kutafuta Mkopo katika bank hiyo, huku wakiniambia mwezi huu tarehe 15 ndo itakuwa mwisho wa mkop wa Riba ya asilimia 13.

Tulitegemea bank kupunguza Riba zaidi na si kuendelea kuongeza kwani hii itafanya Hali ya uchumi kuwa ngumu zaidi.

crdb siyo kabisa.
 
Haya mambo shida yanapelekwa kisiasa...

Nchi kama Bongo biashara ni kama ku-bet percentage ya watu wanao-default ni lukuki kila siku watunga sera wanakuja na yao (hakuna predicatability) unategemea Banks zikupe riba ndogo si mwisho wa siku na zenyewe zitakuwa ombaomba kwa kufunga biashara ?

Tatizo ni watu hawakopesheki..., Risk ya ku-default ni kubwa...
 
Haya mambo shida yanapelekwa kisiasa...

Nchi kama Bongo biashara ni kama ku-bet percentage ya watu wanao-default ni lukuki kila siku watunga sera wanakuja na yao (hakuna predicatability) unategemea Banks zikupe riba ndogo si mwisho wa siku na zenyewe zitakuwa ombaomba kwa kufunga biashara ?

Tatizo ni watu hawakopesheki..., Risk ya ku-default ni kubwa...
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Consistency hawana kazi kukurupuka lengo lao waipiku NMB kwa kumtumia ex staff wa NMB Nsekela lkn ktk mazingira halisi riba ya 13% haiwezekani ndo maana NMB walistick pale pale
 
Back
Top Bottom