Wanajamvi wasalaam.
Nimeona mabango ya hizi huduma yaani CRDB FAHARI HUDUMA na TANZANIA POSTAL BANK (TPB) POPOTE. Ningependa kujua ukitaka kuwa mtoa huduma (wakala) unafata process zipi na operation yake ikoje na kuhusu mtaji uwe wa kiasi gani na faida iko kwa percentage ngapi na inapatikana vipi.
Naomba wale wenye uzoefu au ambao wanafanya biashara hii wanipe ujuzi ili nijue kama naweza fanya. Na kama kuna bank nyingine ina huduma kama hizi basi naomba kujulishwa.
wanajamvi wasalaam.
Nimeona mabango ya hizi huduma yaani crdb fahari huduma na tanzania postal bank (tpb) popote. Ningependa kujua ukitaka kuwa mtoa huduma (wakala) unafata process zipi na operation yake ikoje na kuhusu mtaji uwe wa kiasi gani na faida iko kwa percentage ngapi na inapatikana vipi.
Naomba wale wenye uzoefu au ambao wanafanya biashara hii wanipe ujuzi ili nijue kama naweza fanya. Na kama kuna bank nyingine ina huduma kama hizi basi naomba kujulishwa.