Crdb hii ni kero................you need to change plz....!!!

hawa jamaa urafiki wao ni kuweka na kutoa lakini products zao nyingi ni mbovu .... na wanalenga makundi tu kama NGO'S na SACCOS
 
kimei kavunja mpaka ndoa ya tully sasa

Word!

Ufuska unapoingia kwenye kazi lazima yatokee mambo kama hayo - Ukiona mfanyakazi wa kike ana majivuno kazini, fahamu fika kuwa hiyo kazi ameipata baada ya kuvua kyupi .. As simple as that! CRDB is not a unique case - Nenda Vodacom Mlimani City, Nenda Tigo All Branches, Nenda NMB - It is all the same Sh**t!
 

Walishaniboa miaka 4 iliyopita nikavuta amana yangu nikahamia scb. hakunaga ubabaishaji huko. kila kitu kiko mwake.
 

siwapigii debe. SCB wako juu kwa bank zetu za tz. nimewahi kubank na bank zote za tz na nikapiga chini zote nikabaki na barclayz na standard chartered na nataka tosa barclays japo nahudumiwa nikiwa nimeketi nibaki na scb yangu. ninao tangu 2003 sasa na hawajaniboa hata.
 

labda SCB ya leo, ya jana na ya juzi na nyuma ni shida tupu, wengi tulihamisha amana zetu huko. tatizo la nmabenki yetu ni customer service, utakuta benk ina watumishi 20 front desk lakini wanaweza kuhudumia wateja vizuri ni wawili tu. Sasa ikitokea una bahati ya kukutana na hao wawili kila unapokwenda ku-banki, utaisifia tu ilhali ukweli ni tofauti.
 

SCB ndo bank gani wajameni?tujuzane na mi nikafungue huko..
CRDB nimefunga account juzi tu kwa hasira ..poor customer service..afu huyu anakujibu hivi akija mwingine anajibu vile
afu bila haya wananambia hatuna jinsi ya kukusidia kama unataka kufunga funga..
nilishangaa sana..
 
Mbona hawajibu mapigo???? wenyewe sio members humu??? au tuwafuate kwenye facebook?????
 

SCB=Standard Chartered Bank.

Hapa wadungu tukubali tu kuwa mabenki yetu ya TZ kwa ujumla customer care ni karibu na zero japo pia huwa inatofautina kutoka tawi moja kwenda lingine ndani ya benki hiyohiyo. Nina akaunti yangu CRDB kwa miaka kadhaa sasa na sijawahi kuwa disappointed kwa sana japo iko siku niliudhiwa na dada mmoja niliyekuwa namlalamikia kwanini nachajiwa kuingiza pesa kwenye akaunti ya mtu mwingine wa benki hiyohiyo naye akanijia juu. Nilitoka hapo nikaenda kuandika email kwa Kimei na Mkurugenzi mwingine mwenye jina la kizungu nafikiri ni Mdenishi. Haikupita miezi mitatu wakafuta hiyo kitu.

Mabenki kama SCB, Baclays and the Co. ni ya watu wenye pesa nyingi maana makao yao ni makubwa sana.
 

BENKI YA KIZALENDO???? ILIPOKEAJE HELA ZA EPA HATA PALE ZILIPOKUWA ZIMETILIWA MASHAKA NA Standard Chartered Bank?
 

mie walishanikera na ATM zao yani unafunga safari uneshukia njiani uchukue pesa kwa ATM Unaingia unakuta hazifanyi kazi kwa kweli inakera sana unajikuta unapanda tena daladala ufate ATM nyingine, mfano pale tabata relini ATM yao inaweza kufa siku mbili mfululizo!
 
get a CBK account, u wont need another bank and ur complains will be a thing of the past
 
Hawa jamaa wanakera sana mimi nimetoa hela zangu zote kwenye Bank yao.Nipo nje ya Tz na nilikuwa natumia VISACARD yao but ilikuwa kero sana,Walifunga acc yangu for three weeks nikiwapigia simu wanasema kesho kesho!..Mpaka last time niliporudi Bongo nikachomoa mpunga wangu wote.
 
Wallah CRDB wanatia hasira
Niliomba kuunganisha na huduma ya online banking (nipo mkoa), majibu yalivyokuja wamenipa username na password zisizofanya kazi! nimeenda local branch hakuna wanalojua kuhusu hiyo huduma!mtu nayetakiwa kuwasiliana naye panapo shida ni Sarah Nzowa (Yupo dar), kichekesho ni kwamba branch nzima hakuna mtu mwenye simu yake ya kiganjani, na kwenye barua hakuna contact yoyote,...HATA S.L.P!
 
Nbc is the best bank and if u wish to get the best an high quality product just inverst on it.
 
Hii nimeipenda kwani huyo changu ni lazima siku nyingine atakuwa makini huwezi kuwa unafanya vitu viwili kwa wakati mmoja na ukategemea concetration itakuwa the same, amekoma!
Mwambie tu mshikaji anitumi hela angalau ya beer!
 
Nbc is the best bank and if u wish to get the best an high quality product just inverst on it.

Mkuu ni bora mara 100 niende hata NMB au Exim kuliko NBC. BUT pamoja na matatizo ya mabenki yetu CRDB still is so better compared to NBC.
 
Tunaambiwa waTz hatupendi kazi, tunapenda ajira. Jamaa akija kuwekeza na kuajiri wageni tunaanza kulalama.
 
CRDB ni wezi, imenitokea mara 3 pale Mlimani City, Kibaha na Kijitonyama, nilikuwa ninadeposit zaidi ya 1.5 milion. Nimetoka nyumbani nimezihesabu vizuri, nafika dirishani naambiwa zimepungua sh 10,000 mahali pengine 20,000 yani mradi ni wizi kwa kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…