KERO CRDB hiki mnachofanya sio sahihi, App inaandika ni bure kuangalia taarifa fupi ya miamala, baada ya kuangalia unakatwa Tsh 450

KERO CRDB hiki mnachofanya sio sahihi, App inaandika ni bure kuangalia taarifa fupi ya miamala, baada ya kuangalia unakatwa Tsh 450

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Kwenye app ya simbanking kuna sehemu ya Taarifa ya akaunti, ukichagua taarifa fupi ya miamala 10 iiyopita, utaandikwa jumla ya makato ni shilingi 0.00

Ajabu ukithibitisha kuangalia miamala unakatwa shilingi 381 + vat shilingi 65.58, jumla ya shilingi 450,

Ninaumia sana siwezi kuangalia hata taarifa fupi ya miamala yangu maana makato tayari ni mengi. kila mwezi kuna makato ya account, kila mwaka kuna makato ya uendeshaji wa kadi ya atm, utoe pesa hata dirishani kuna makato, ukitoa pesa atm kuna makato, ongezea tozo ya VAT 18% kwenye makato , n.k. haijakaa sawa nikatwe hata ninapotaka kufuatilia tarifa fupi.

1738697082803.png

1738697092078.png


1738697111758.png


MAKATO BAADA YA KUANGALIA

1738697138617.png


1738697151254.png


1738697171340.png


NYONGEZA

Kwenye Taarifa ya Historia ya miamala 20 nako wanaandika ni bure, sijajaribu nisije nikapigwa na kitu kizito

1738697199036.png


1738697207289.png
 
Airtel Kenya wao wameanza Kufanyiwa Uchunguzi na Comesa hii Commission ya Competition kuhusu Hidden charges Kwenye Airtelmoney
Basi tu Bongo hatupo Aware na Vitu Vingi ila Kuna Utitiiri wa Charges tena zingine haziwi hata listed, But who cares? Hata regulatory Bodies zetu hakuna Kitu zinafanya hao Crdb wako regulated na BOT lakini husikii hata Wataalamu wa BoT wakiwapigia Kelele
 
Airtel Kenya wao wameanza Kufanyiwa Uchunguzi na Comesa hii Commission ya Competition kuhusu Hidden charges Kwenye Airtelmoney
Basi tu Bongo hatupo Aware na Vitu Vingi ila Kuna Utitiiri wa Charges tena zingine haziwi hata listed, But who cares? Hata regulatory Bodies zetu hakuna Kitu zinafanya hao Crdb wako regulated na BOT lakini husikii hata Wataalamu wa BoT wakiwapigia Kelele
Makato si chini ya elf 39, hata kama hutatumia account

Kila mwezi gharama za account ni elf 2 (elf 24 kwa mwaka)
kwa mwaka gharama ya kadi elf 15
 
Kwenye app ya simbanking kuna sehemu ya Taarifa ya akaunti, ukichagua taarifa fupi ya miamala 10 iiyopita, utaandikwa jumla ya makato ni shilingi 0.00

Ajabu ukiminya endelea kuangalia miamala unakatwa shilingi 380

sijaweza kuweka screenshot sababu app imedhibiti
Hawa mi wameniblock na hela inaliwa tu huko ndani eti acc iko dormant.kivipi sasa acc miaka mi5 haina wamefunga process ya kulog in.
Nauliza majibu ooh tuliupdate online process kwahiyo data zilifutika inabidi ulete document upya🥺.
Kivipi wakati mna kila kitu kwenye hizo mail zenu.
Yaani, na hii mara ya tatu nazinguliwa na hiyo bank.
 
Hawa mi wameniblock na hela inaliwa tu huko ndani eti acc iko dormant.kivipi sasa acc miaka mi5 haina wamefunga process ya kulog in.
Nauliza majibu ooh tuliupdate online process kwahiyo data zilifutika inabidi ulete document upya🥺.
Kivipi wakati mna kila kitu kwenye hizo mail zenu.
Yaani, na hii mara ya tatu nazinguliwa na hiyo bank.
Kasuluhishe, Kila mwezi elfu 2 itakatwa, kila mwaka elf 15 ya kadi.

kwa miaka mitano hapo inakaribia laki 2, kunaweza kuwa na charges za ziada
 
Mimi nili-renew card kupitia simbanking app, siku nimekwenda kuchukua hiyo card mpya nikapewa form ya kusign. Ile nimemaliza kusign naambiwa saini siyo sahihi natakiwa kwenda kuapa mahakamani kama kweli kadi/saini ni yangu. Hii ni account ambayo nimekuwa nayo tangu mwaka 1996 na nimekuwa niki-renew kadi kila inapokwisha bila shida. CRDB badilikeni tumieni mfumo wa biometric kusajili wateja ili kuepuka mausumbufu ya kubadika kwa sign za wateja wenu. Mtu ana kadi zaidi ya miaka 25 ni rahisi kusahau saini aliyotumia kusajilia kadi mara ya kwanza
 
Airtel Kenya wao wameanza Kufanyiwa Uchunguzi na Comesa hii Commission ya Competition kuhusu Hidden charges Kwenye Airtelmoney
Basi tu Bongo hatupo Aware na Vitu Vingi ila Kuna Utitiiri wa Charges tena zingine haziwi hata listed, But who cares? Hata regulatory Bodies zetu hakuna Kitu zinafanya hao Crdb wako regulated na BOT lakini husikii hata Wataalamu wa BoT wakiwapigia Kelele
CRDB ni majambazi ht kwenye mikopo wameficha mambo mengi.
 
Hawa mi wameniblock na hela inaliwa tu huko ndani eti acc iko dormant.kivipi sasa acc miaka mi5 haina wamefunga process ya kulog in.
Nauliza majibu ooh tuliupdate online process kwahiyo data zilifutika inabidi ulete document upya🥺.
Kivipi wakati mna kila kitu kwenye hizo mail zenu.
Yaani, na hii mara ya tatu nazinguliwa na hiyo bank.
Tembelea tawi lingine, watakurekebishia tatizo ndani ya muda mfupi. Muhimu uwe na kiasi cha kuweka.
 
Makato si chini ya elf 39 hapa hujatumia account kufanya miamala

Kila mwezi gharama za account ni elf 2 (elf 24 kwa mwaka)
kwa mwaka gharama ya kadi elf 15

CRDB ni majambazi ht kwenye mikopo wameficha mambo mengi.
Ni wasaa sasa izi regulatory body ambazo ziko Responsible zifanye intervention kuona what's being hidden
 
Kwenye app ya simbanking kuna sehemu ya Taarifa ya akaunti, ukichagua taarifa fupi ya miamala 10 iiyopita, utaandikwa jumla ya makato ni shilingi 0.00

Ajabu ukithibitisha kuangalia miamala unakatwa shilingi 380

Ninaumia sana siwezi kuangalia hata taarifa fupi ya miamala yangu maana makato tayari ni mengi kila mwezi nakatwa, kila mwaka makato ya uendeshaji wa kadi ya bank, kila nikitoa pesa nakatwa, sijakaa sawa nakatwa vat.

sijaweza kuweka screenshot sababu app imedhibiti lakini kama una app unaweza kujaribu
BANK NZURI NI EQUITY NA EXIM PEKEE.

CRDB NI KIKUNDI RASMI CHA WEZI.
 
Crdb mje mjibu mambo yenu huku,mmeweka standing order kwenye app lakini makato hayafanyiki kama mtu alivyoidhinisha, kuna haja gani ya kuwa na app ambayo haifanyii kazi ulichoapply
 
Back
Top Bottom