figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Viongozi wa kimila (Machifu), jijini Mbeya, wameiomba Serikali kuweka program ya elimu ya fedha kuwa endelevu ili kuwawezesha wananchi wengi zaidi kupata uelewa na kutatua changamoto mbalimbali za masuala ya kifedha.
Wametoa wito huo walipotembelea Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kwa mwaka 2024 yanayoendelea katika Viwanja vya Ruanda-Nzovwe Jijini Mbeya, yaliyobeba kauli mbiu ya “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi”.
=====
MY TAKE
Hawa wafanyabiashara watuache wanasiasa tupambane kisiasa. Wasimpendelee mtu wala kumuonea mtu.
Ni aibu CRDB kupendelea CCM wakati CCM wenyewe account zao zote zipo NMB.
CRDB wajiweke kando na siasa Uchwala. Siasa za maji taka na kupumbaza watu kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Wenye kutegemea huduma za CRDB si CCM tu
Wametoa wito huo walipotembelea Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kwa mwaka 2024 yanayoendelea katika Viwanja vya Ruanda-Nzovwe Jijini Mbeya, yaliyobeba kauli mbiu ya “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi”.
=====
MY TAKE
Hawa wafanyabiashara watuache wanasiasa tupambane kisiasa. Wasimpendelee mtu wala kumuonea mtu.
Ni aibu CRDB kupendelea CCM wakati CCM wenyewe account zao zote zipo NMB.
CRDB wajiweke kando na siasa Uchwala. Siasa za maji taka na kupumbaza watu kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Wenye kutegemea huduma za CRDB si CCM tu