crdb ile branch ya mcity ndiyo kabisa foleni haielezeki. Mimi naenda mikocheni, ni afadhali kwakweli. na sijawahi kukuta tellers wamejaa dirisha zote (kwa masaa niliyokuwa ndani ya benki)
crdb ile branch ya mcity ndiyo kabisa foleni haielezeki. Mimi naenda mikocheni, ni afadhali kwakweli. na sijawahi kukuta tellers wamejaa dirisha zote (kwa masaa niliyokuwa ndani ya benki)
Mi nataka kuhama huku sku nyingi tu, kwanza nimegundua wanaanza mchezo mmoja wa kukata service charges mara 2 kwa mwezi, sijui wanadhani siwaoni? kumbe mie naona kwa estatements zangu..pili niliwaomba kwa tabu kubwa wanitoe kwene simbanking lakini wanang'ng'ana tu ili waendelee kunikata hela hata kama sms haifiki na wala sihitaji..ngoja kadi yangu iki-expire tu wameumia...hovyo, hata rates zao za hovyo.
kwa maana nyingine usikariri kuwa huwezi kupata service nzuri kwingine zaidi ya hapo ulipo! angalia kilicho karibu, unafuu, upatikanaji wa huduma na muda!fafanua mkuu wengine kina kayumba
I wish ATM zingekuwa na uwezo wa kudeposit!!! sikuwa na ujanja zaidi ya kusimama kwenye foleni masaa kibao
ziko ATM nairobi kwa ATM hall unatia hella zako za noti lakini au chech yako na unadeposit.DAR sijui kwa kweli umechunguza kama hakuna kabisa sababu zimekuweko kenya hata town ndogo ndogo tu.
Hopefully soon zitafika Dar pia na foleni zitaisha. Nina imani zitapunguza foleni na sijui utaingia ndani ya branch kufanya nini.ziko ATM nairobi kwa ATM hall unatia hella zako za noti lakini au chech yako na unadeposit.DAR sijui kwa kweli umechunguza kama hakuna kabisa sababu zimekuweko kenya hata town ndogo ndogo tu.
Connect with us:
ATM Services
Equity Bank has over 620 ATMs in the region. Equity Bank customers can use their cards to transact regionally in Kenya, Uganda, South Sudan, Rwanda and Tanzania.
Types of ATMs:
These are cash withdrawal only ATMs without deposit capability.
- Cash Out ATMs
These are ATMs that are capable of dispensing cash as well as accept cash deposited using the envelopes provided.
- Envelope Deposit ATMs
These are ATMs that are capable of dispensing cash as well as deposit money instantly into your account.
- Intelligent Deposit ATMs
Features of Equity Bank ATMs:
- Withdraw cash from your bank account or mobile phone account
- Buy airtime from Safaricom, Orange, YU or Airtel
- Transfer funds from one Equity Bank account to another
- Pay utility bills such as DSTV, Electricity, Water, Phone, HELB. Simply choose any of these buttons at the ATM, then proceed with the transaction.
- Cardless Transactions – This is where a customer wants to draw money through the ATM from their M-PESA, yuCash or Orange Money account. A customer needs to:
- Generate a code from their mobile phone
- Go an Equity Bank ATM and choose the button with the option you wish to draw the money with e.g. M-PESA / yuCash / Orange Money
- Key in the code at the ATM
- Wait for the ATM to process and dispense cash
sio siri sijui wateja tumezidi kuwa wengi sana. kuna foleni ndefu ajabu. matawi matatu niliyotembelea kila nikichungulia nahisi nitakaa masaa ma3. nimeamua kuingia tawi mojawapo. hapa nipo kwa foleni kuna teller boxes 5 lakini 2 tu zina cashiers. hii ni biashara au ......