Crdb -kichaka cha walanguzi wa mali zaumma

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Imekuwa sasa ni kawaida kuwa kila anayetaka kuiibia serikali anatumia CRDB. Ushahidi: EPA pesa zilizo nyingi zilipitia CRDB. Haijatosha, Ezekiel Maige, Waziri wa Utalii anasema mkopo wa kununua nyumba ya mabilioni amepata CRDB. Hii benki!!!!, hii benki!!! Kichaka cha kuiibia serikali! mapito ya pesa za walala hoi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…