CRDB kutoa Gawio la Kihistiria Bilioni 118

Samia ndiye general manager wa crdb?
 
Wamewanyonya mno wavuja jasho na waponda nyundo. Wamewakamua mno wafanyakazi na wafanya biashara.
Nashauri wafanye na sherehe mwakani waongeze juhudi
 
mwaka jana gawio ilikuwa kiasi gani vile kwa sababu hata kama ikizidi kwa shs 1000 bado itakuwa historical au vipi
 
Hicho ni kisebengo kwa kapuku kama wewe kushadadia mambo ya wenyewe
Wivu,unataka nishadidie mambo Yako? Tajiri akisimama ni nafuu Kwa kapuku sio nyumbu mwenye kijiba Cha roho kama wewe unaumia kuona Samia anafanya vizuri 😁😁

Bado utateseka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…