CRDB mnananii na Pesa Zetu

Joined
Jun 4, 2019
Posts
14
Reaction score
23
Bank ya CRDB tangu siku ya Ijumaa ya Tarehe 12 mmekua na ukiritimba wa kuzuia kutumia pesa zetu tulizo zihifadhi kwenu kwa kisingizio cha Network mbona wakati pesa tunaweka na kufungua account hamkusema network inasumbua Tangu Kimei Astaafu CRD bank memeshindwa kuturidhisha wateja zaidi ya kuwa kero tu na hii ni Kwa nchi yote.
 
Mimi nawasikilizia network ikirudi navuta mpunga wangu woote sitaki ujinga kabsa
 
Hapa nikipo sasa hivi. Simbanking yangu inasema nimezuliwa kutumia huduma hiyo. Sababu siijui na sina hela zaidi ya hizo zilizo benki
 
Halafu figure zinasoma uongo ukiulizia salio sijui ni nini wakuu
 
Wanatuibia nini kwa kutuzubaisha mtandoa upo chini?
 
Ukiuliza wafanyakazi wanakuambia live kuwa ishitaki benki, hahahahahaah CRDB the stupid of all at the moment. Haya mambo ya kumwambia mteja network haipo ni ushamba na ujinga, you must have a backup system that works fairly well.

UNAKUTA WANAMPOTEZEA MTEJA MAmilioni kwa kila siku, maana wanachelewa kutuma pesa kisa network. Niliwaambia wakodi lorry kama network haipo wapeleke pesa damn it.
 
Kuna usemi unasema ela ya kwako ni ile ambayo iko mikononi mwako
 
Tumien exim bank, backlays,boa bank ndio Bank sasa hii sasa mnatumia hzo ndio tabu ila nakopesha pesa karibuni
 
Tumien exim bank, backlays,boa bank ndio Bank sasa hii sasa mnatumia hzo ndio tabu ila nakopesha pesa karibuni
Exim hii hii walionyanganywa mpk furniture na madalali wa mahakama kule Arusha au kuna nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…