Crdb mnatuchanganya

Camp 05

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
3,016
Reaction score
2,883
Nimeomba card yangu iwezeshwe online purchase mwaka 2014 nikawezeshwa then nikaenda Bank kui-undo hiyo service,nikataka huduma tena ya kuwezeswa kard ikagoma nikajaribukuwaona na kupiga simu mara nyingi kupata ushauri haijawezekana.
nikapata wazo la kupata sub-reference card service,nakajarib kuiwezesha nyao imekuwa locked.Niko totaly confused.
Wadau shida hii ya kuwezesha kwa wazo langu wangefanya Bank wenyewe.Labda hizi njama......
Msaada jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…