Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema wandugu....
Leo kero yangu kubwa nawapa CRDB yan mtu unatoa kiasi kama kishika uchumba upate machine ya CRDB wanakaa na pesa yako karibia wiki mpaka wiki mbili kimya no machine(uwakala wa bank)....nawaomba muwe serious kidogo.
sasa hata transaction za simu leo hakuna....ni zaidi ya 1 hour najaribu kutuma pesa inaniambia Namba ya unayotuma haipatikani, si kuhamisha kwenda kwenye simu wala Acc yenyewe ya CRDB!!ninavyojua siku hizi hakuna machine mbona, unatumia simu yako kufanya uwakala
utaratibu upoje boss wa kupata mashine?Ipo boss...nimechukua juz tuu...NMB ndo wanatumia simu.
Ongea na watu vizuri machine zipoNinavyojua siku hizi hakuna machine mbona, unatumia simu yako kufanya uwakala
Naweza kuomba mashine Mwanza alafu biashara nikaenda kufanyia Dar?Uwe na tin na leseni unaenda tawi ulipo karibu nawe....zen machine n 350,000/= na uwe na cash ya deposit shs 1,000,000/=
Hio n ngumu.Naweza kuomba mashine Mwanza alafu biashara nikaenda kufanyia Dar?
Hapana hauwezi kwenda kuwaambia kitu kama hicho. Unachoweza kufanya ni kuomba uwakala wa Mwanza, kimsingi watakuja kukagua ofisi yako au wakati mwingine watakwambia utume picha za ofisi, utakapopata mashine unaweza kuhama (unofficial) kwenda kokote kule ila tatizo ni kwamba wewe utakuwa unasomeka uko Mwanza kwahiyo ukihitaji supplies kama rollers na slips itakuwa ngumu kupata huko ulikoenda. Kuna jamaa yangu alihama kutoka Mbeya kwenda dar akafanya kazi vizuri tu ila shida ikawa ni hizo rolllers na slips, lakini kwa sasa amefanya process ya kumhamisha taarifa zake kwenda DarNaweza kuomba mashine Mwanza alafu biashara nikaenda kufanyia Dar?
kuzipata especially za NMB ni issue, ila ukiwa na mkwanja hakuna kinachoshindikanaOngea na watu vizuri machine zipo
Asante bro kwa taarifa.Hapana hauwezi kwenda kuwaambia kitu kama hicho. Unachoweza kufanya ni kuomba uwakala wa Mwanza, kimsingi watakuja kukagua ofisi yako au wakati mwingine watakwambia utume picha za ofisi, utakapopata mashine unaweza kuhama (unofficial) kwenda kokote kule ila tatizo ni kwamba wewe utakuwa unasomeka uko Mwanza kwahiyo ukihitaji supplies kama rollers na slips itakuwa ngumu kupata huko ulikoenda. Kuna jamaa yangu alihama kutoka Mbeya kwenda dar akafanya kazi vizuri tu ila shida ikawa ni hizo rolllers na slips, lakini kwa sasa amefanya process ya kumhamisha taarifa zake kwenda Dar