CRDB, NMB na other local banks acheni kulala

Semilong

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2009
Posts
1,711
Reaction score
220
Kama umetumia visa card yako kufanya malipo ya bidhaa kwenye maduka siku za karibuni basi utaona risit unayopata ina nembo ya Equity Bank (9 out of 10 shops).
Katika kudadisi nika find out our two largest retail banks; NMB hawajawahi kuwa na machine za kulipia na card while Crdb machine zao zinaharibika ovyo na ni wasumbufu kupata kwa hiyo most of the business wana prefer Equity. Business ikitumia machine ya Equity means ina bank na equity.
Wakati umefika wa hizi local banks kuamka usingizini they are losing sme
 
Mkuu usijali, NMB, mwezi unaokuja wanazindua huduma au kadi ya visa card, na visa kadi hiyo itakuwa ya ukweli ile mbaya, so utaweza kufanya manunuzi yako yote, kuwa mpole kidogo, nmb wanakuja kivingine. Kwa sasa NMB, inamapinduzi ya technologia, imeanzisha huduma ya E-statement, NMB wakala, CHAP CHAP Account, NMB Mobile, n.k
 
niliweka elf 6o crdb nilibak na butwaa kuona ndan ya siku 14 imebak elfu 3o
sipend kwenda tena kwenye hii bank
 
niliweka elf 6o crdb nilibak na butwaa kuona ndan ya siku 14 imebak elfu 3o
sipend kwenda tena kwenye hii bank


chaka la wachaga hilo, huduma mbovu, mifumo mibovu, ajira kwa ukabila, ubunifu sifuri, kila mfanyakazi anawaza kuiba tu....pumbaaaav
 

Mkuu , hii ahadi ya NMB visa card nimepewa tangu mwaka jana, wanakwambia mwezi ujao, yani ni ujao ujao sijui utakuja lini huo mwezi.
Laiti hawa jamaa wangekuwa na visa card nisingeingia hasara niliyoingia...sina hamu nao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…