Crdb Simbanking

mbogodj

Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
65
Reaction score
13
Imerahisisha mambo Sana, tujaribu kujiunga kwa wenzangu ambao nanyi mpo kwenye taasisi hiyo(wateja wenzangu).

dial *150*03# ufanye mhamala wowote popote ulipo.

Tujumuike pamoja kulijenga taifa.
 
Ngoja nijaribu tatizo hii simu yangu ya tochi mmmhhh
 
Imerahisisha mambo Sana, tujaribu kujiunga kwa wenzangu ambao nanyi mpo kwenye taasisi hiyo(wateja wenzangu).

dial *150*03# ufanye mhamala wowote popote ulipo.

Tujumuike pamoja kulijenga taifa.

wanakata hela nyingi sana kwenye account...halafu bado hawaja reconcile na LUKU ukinunua luku wanakata hela hupati message.... otherwise imerehisisha kwa sababu ukiwa bank ukiona foleni unahamisha tu pesa unaweka kwenye tigo pesa au mpesa unaenda chukua safi sana!!
 

Ndio urahisi huo Pesa yako unaitumia sehemu yoyote Tanzania bara visiwan .vizuri Kama umeielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…