Crdb, the bank that listened

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,459
Reaction score
699
Jamani CRDB mlikuwa mnasikiliza wateja zamani na si siku hizi. Nasema hivyo kwa sababu ya huduma yenu ya kuhamisha pesa kutoka kwenye account kwenda kwenye mtandao wa simu, huduma hii inachelewa sana, haina umuhimu tena kama kusudio lake. Una shida hospitalini unahitaji pesa kwa haraka unazipata kesho, inahitajika kuwepo kweli? Ukiwapigia customer care wanakuambia vuta subira kidogo, kidogo yenyewe kesho. Anzisheni huduma mkiwa tayari na si kukurupuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…