CRDB, This is nonsense!

CRDB, This is nonsense!

frakitosho

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
802
Reaction score
256
Wanajamvi ni hivi, akaunti ya CRDB iba fedha za kutosha ila kwenye simu yangu nimeishiwa airtime na niko kwenye traffic jam.

Naingia kwenye menu ya CRDB mobile ili ninunue airtime najibiwa "huna salio (airtime) ya kutosha kununua "airtime"! Sasa upuuzi wao ni huu, unatakiwa kuwa na balance (airtime) ili uweze kununua airtime.

Tafadhali CRDB nawaheshimu sana rekebisheni kasoro hii muwe kama NMB ambao hata kama simu haina salio bado unaweza kununua airtime. Makato ni kwenye balance ya bank
 
Wanajamvi ni hivi, akaunti ya crdb iba fedha za kutosha ila kwenye simu yangu nimeishiwa airtime na niko kwenye traffic jam. Naingia kwenye menu ya crdb mobile ili ninunue airtime najibiwa "huna salio (airtime) ya kutosha kununua "airtime"! Sasa upuuzi wao ni huu, unatakiwa kuwa na balance (airtime) ili uweze kununua airtime. Tafadhali crdb nawaheshimu sana rekebisheni kasoro hii muwe kama Nmb ambao hata kama simu haina salio bado unaweza kununua airtime. Makato ni kwenye balance ya bank

hapo kwenye Jam hakuna wauza voucher?
 
Kama kweli ni wasikivu wahe humu watuambie watarekebisha ama vipi
 
tatizo lako unatumia Airtel na CRDB badala ya Voda/Tigo na NMB.
 
Ndio yale ya tra kulipisha watu kodi ya mapato wakati wanaanza biashara. Utalipaje kodi ya mapato kabla hujapata? Bora ingeitwa kodi ya mtaji.
 
Pengine sio tatizo la CRDB hasa kwa sababu suala la airtime balance ni la operator wako. Operator wako ndiye anayemanage SMS platform.
 
Ndio yale ya tra kulipisha watu kodi ya mapato wakati wanaanza biashara. Utalipaje kodi ya mapato kabla hujapata? Bora ingeitwa kodi ya mtaji.

Ni kweli mkuu ni maajabu kumtaka mtu awe na salio kwa ajili ya kununua salio
 
Pengine sio tatizo la CRDB hasa kwa sababu suala la airtime balance ni la operator wako. Operator wako ndiye anayemanage SMS platform.

Hapana ni suala la kimkataba zaidi kati ya crdb na mitandao
 
Hapana ni suala la kimkataba zaidi kati ya crdb na mitandao
Hiyo mikataba ipoje? Kama mteja ananunua airtime, ni operator ndiye anayefaidika zaidi kuliko bank, kwa hiyo kimantiki nilitegemea operator asiweke kikwazo chochote mtu anapotaka kununua airtime. Kimsingi, the process should be smooth kama vile unavyoweza kununua voucher.
 
hapo kwenye Jam hakuna wauza voucher?
sasa hapo unakuwa umechangia nini au basi tu uwe umeandika post? mda mwingne tuwe serious kidogo tu mzaa wakati mtu anatoa claim yake apate ufumbuzi sio poa mda mwingine. Nenda jukwaa la jokes fanya vitu kama hivyo. hapo ni swali kweli umeuliza ila m halija ni pendeza koz mleta thread hakuwa na mana siku hizi barabarani hmna wauza vocha ila tatizo ni CRDB huwezi nunua vocha ukiwa huna salio kwenye simu.
 
Wanajamvi ni hivi, akaunti ya crdb iba fedha za kutosha ila kwenye simu yangu nimeishiwa airtime na niko kwenye traffic jam. Naingia kwenye menu ya crdb mobile ili ninunue airtime najibiwa "huna salio (airtime) ya kutosha kununua "airtime"! Sasa upuuzi wao ni huu, unatakiwa kuwa na balance (airtime) ili uweze kununua airtime. Tafadhali crdb nawaheshimu sana rekebisheni kasoro hii muwe kama Nmb ambao hata kama simu haina salio bado unaweza kununua airtime. Makato ni kwenye balance ya bank

Tatzo c la Crdb, nadhani utakuwa unatunia VodaCom-make wao ndio wana nyodo hizo. Nilihama toka VodaCom to Airtel Crdb mobile money kwa sababu ya ujinga huo wa VodaCom. Ila kwa sasa Airtel huwa haniletei hizo habari.
 
Wanajamvi ni hivi, akaunti ya crdb iba fedha za kutosha ila kwenye simu yangu nimeishiwa airtime na niko kwenye traffic jam. Naingia kwenye menu ya crdb mobile ili ninunue airtime najibiwa "huna salio (airtime) ya kutosha kununua "airtime"! Sasa upuuzi wao ni huu, unatakiwa kuwa na balance (airtime) ili uweze kununua airtime. Tafadhali crdb nawaheshimu sana rekebisheni kasoro hii muwe kama Nmb ambao hata kama simu haina salio bado unaweza kununua airtime. Makato ni kwenye balance
Fahamu kuwa, vodacom wana charge kila transaction kabla ya hata msg kuwa detected crdb. hivyo ni lazima voda wakate pesa yao kabla ya kuruhusu ku access menu ya simbanking. tigo ni bure, kwa hilo walaumu voda, siyo crdb.
 
Ndio yale ya tra kulipisha watu kodi ya mapato wakati wanaanza biashara. Utalipaje kodi ya mapato kabla hujapata? Bora ingeitwa kodi ya mtaji.

Hili saga limenikumbusha mbali iliniumaga sana aisee
 
Hawa jamaa wana masihara kweli.zaidi ya mwezi mi nahangaikia swala la internet banking kwa zaidi ya mwezi bila mafanikio. TAFADHALI KAMA WAPO WAJE KUJIBU.
 
Back
Top Bottom