Bank yenu ya gari mobile 10 inayofanya kazi mkoa wa Tabora wilaya ya Sikonge na Ulambo tunaibiwa pesa zetu kila leo na hatuzipati na hamna maelezo
Jana jamaa yangu kadroo laki2 ila hazikutoka kaambiwa asubiri mpaka siku 41 ..hiki kitu gani hiki?Tunaomba hamisheni watu hawa haraka sana.