CRDB USA-River, Arusha: Kwanini ni dirisha moja tu kati matano ndilo hufanya kazi?

CRDB USA-River, Arusha: Kwanini ni dirisha moja tu kati matano ndilo hufanya kazi?

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Nchi hii sijui inakoelekea kila sehemu huduma ni mbovu. Niko CRDB tawi la USA-RIVER, Arusha tangia saa 3 asb, wateja ni wengi yuko mhudumu moja tu wakati madirisha yako zaidi ya 5. Wahudumu wengine wapo wanazururazurura ndani sijui wanafanya nini.

Hizi kwanza ni dharau kwa wateja, kwanini mhudumu moja tu? Hamjali ratiba zetu siyo, shida ni meneja wa tawi au ndio utaratibu wa hii benki nchi nzima? Bado karne hii unaona kuna wateja wapita bila kuitwa namba za kadi.

Hili tawi la hovyo sana, mtu unataka ufanye malipo uondoke. Kwanini wahudumu wasikae kwenye madirisha ya huduma tuhudumiwe na tuendelee na shughuli zetu? Hii nchi ukimbilie wapi upate huduma nzuri kwa wakati.
 
Hili tatizo hata NMB lipo, it seems customer care bongo ni changamoto au halichukuliwi serious
 
Siyo huko tu hiyo shida ni Tz kote alafu ATM zao muda mwingi zinazingua,
Ni benk za kishamba sana zinatupotezea muda
 
Crdb, Nmb na kidogo NBC ni benki zinazokera na customer care mbovu. Ni kawaida kukuta madirisha wazi wakati wateja wanahitaji huduma.
 
Crdb, Nmb na kidogo NBC ni benki zinazokera na customer care mbovu. Ni kawaida kukuta madirisha wazi wakati wateja wanahitaji huduma.
 
Back
Top Bottom