Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 299
Mimi ni mteja wa CRDB BANK, leo nimefanya uhamisho wa pesa majira ya saa 4:20 asubuhi kutoka akaunti yangu ya benki hiyo kwenda M-PESA, nimesubiri mpaka nikachoka sijaona kitu hivo nikaamua kuwapigia VODACOM/M-PESA wakaniambia hakuna pesa zozote zilizoingia kwenye akaunti yangu ya mpesa hvo, wakanishauri niwasiliane na CRDB nikadanya hvo kwa kutafuta namba zao nikazipata ambazo ni 0755197700 na 0714197700 sasa cha ajabu kila nikipiga hiyo ya voda inakata nikaamua kupiga hyo ya voda inaita kisha inapokelewa na kukatwa bila mpokeaji kusema chochote, nikaamua kwenda kuangalia balance nikakuta hiyo hela niliotoa imekatwa, nikafanya tena mawasiliano na benki hiyo ila sikupata msaada, sasa wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje kuweza kupata pesa zangu hizo
Naomba kuwasilisha.
ANGALIZO
Nahitaji ushauri tafadhali kama unaona huna ushauri naomba upite tu kuliko kukashifu
MOODS NAOMBA MWACHE HII THREAD NIPATE UTATUZI WA PESA ZANGU
Naomba kuwasilisha.
ANGALIZO
Nahitaji ushauri tafadhali kama unaona huna ushauri naomba upite tu kuliko kukashifu
MOODS NAOMBA MWACHE HII THREAD NIPATE UTATUZI WA PESA ZANGU