Tanzania kuna watu washamba sijawahi kuona kama wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] that's why hatuendelei kweli unakuja na ujumbe kama huu seriously??uliza hata kwa rafiki yako anayejua mambo ya hela basiMtoa mada wewe ni muongo sana na una lengo baya na benki ya crdb kwa kutoa taarifa za uongo. Yaani akaunti ni ya USD alafu umekatwa TShs hii wewe ulishaona wapi
Kama acc ni USD mbona wamekata madafu?
Mtoa mada wewe ni muongo sana na una lengo baya na benki ya crdb kwa kutoa taarifa za uongo. Yaani akaunti ni ya USD alafu umekatwa TShs hii wewe ulishaona wapi