Habari wakuu,
Kwa wazoefu au wenye umelewa wa hili jambo, na ni kawaida kwenye baadhi ya mikoa. Nilichokikuta mkoa huu ni ajabu.
Niliwasili Morogoro usiku wa saa nne. Nikawa na uhitaji WA pesa. Kitu cha Kwanza kufikiria ni kwenda ATM.
Nilichoshuhudia ilikuwa ajabu sana kwangu. Nimezunguka kuanzia msamvu mpaka Morogoro mjini yote, ATM zote hazina pesa. Nilipata hasira kuteseka na pesa zangu mwenyewe. Hawa wenzetu wanakwama wapi. Je, Wana wateja wa kutosha so wamerelax?
Kwa wazoefu au wenye umelewa wa hili jambo, na ni kawaida kwenye baadhi ya mikoa. Nilichokikuta mkoa huu ni ajabu.
Niliwasili Morogoro usiku wa saa nne. Nikawa na uhitaji WA pesa. Kitu cha Kwanza kufikiria ni kwenda ATM.
Nilichoshuhudia ilikuwa ajabu sana kwangu. Nimezunguka kuanzia msamvu mpaka Morogoro mjini yote, ATM zote hazina pesa. Nilipata hasira kuteseka na pesa zangu mwenyewe. Hawa wenzetu wanakwama wapi. Je, Wana wateja wa kutosha so wamerelax?