Cream/Lotion/Body butter nzuri sehemu za baridi na upepo mkali

Cream/Lotion/Body butter nzuri sehemu za baridi na upepo mkali

Anfibix

Senior Member
Joined
Dec 1, 2018
Posts
190
Reaction score
308
Wakuu habari, ni takribani nusu mwaka nimehamia Mbeya na kama mnavyojua hali ya hewa huku ni upepo na baridi. Ngozi yangu imekua kavu na imefubaa.

Kwa anaejua cream au lotion au mafuta mazuri yasiyochubua kwa mtu ambae ni maji ya kunde, tafadhali naomba msaada. Thanks.
 
Mkuu weka umri , umbo lako na namba ya siku niweze kukufanyia prescription mimi ndiye Dermatologist wa jukwaa.
 
Back
Top Bottom