Cream za hair removal zina madhara gani?

Cream za hair removal zina madhara gani?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Sijawahi kutumia hizo makitu sasa nashawishika nijaribu so Ningependa kujua kama hizo cream za kuondoa nywele za makwapani, ndevu ama sehemu za siri sina side effects yoyote?
 
Hazina madhara zikitumiwa kwa usahihi
 
Sijawahi kutumia hizo makitu sasa nashawishika nijaribu so Ningependa kujua kama hizo cream za kuondoa nywele za makwapani,ndevu ama sehemu za siri sina side effects yoyote?
Tumia tu mkuu hazina madhara binafsi kuna jamaa flan hiv wanaagizaga nadhan marekani au Dubai huwa nanunua kwao kwa ajili ya kuondolea nywele mfano za kwapa ni nzuri kwakweli muhimu upate OG sio matakataka yale ya kariakoo
 
Tumia tu mkuu hazina madhara binafsi kuna jamaa flan hiv wanaagizaga nadhan marekani au Dubai huwa nanunua kwao kwa ajili ya kuondolea nywele mfano za kwapa ni nzuri kwakweli muhimu upate OG sio matakataka yale ya kariakoo
Zinauzwa kiasi gani?
 
Niliwa nunua inaitwa magic powder
Nikajaribishi kidevu ndio ndevu zilianza aisee nywele zilitoka ila nikatokewa na malengelenge

Nikaenda kumuuliza kinyozi akasema ni special kwa kidevu vilivokomaa
 
Dorco yangu Tsh 200/= miezi mitatu hiyo hiyo nakatia kucha nanyolea sehemu ninazohusika nazo mwenyewe kasoro kichwa.

Sisemi ni vibaya kutumia ila naona ni kujiweka sana busy.
 
Back
Top Bottom