Criminal liability ya marehemu Hamza sio criminal liability ya ndugu zake, labda kama wangelishirikiana

Criminal liability ya marehemu Hamza sio criminal liability ya ndugu zake, labda kama wangelishirikiana

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Mtoto wa nyoka ni nyoka sio kauli inayoingia kila mahala. Maana baba wa mvuta bangi sio mvuta bangi labda mpaka nae awe mvutaji.

Kitendo cha kulaumu wazazi wa marehemu Hamza kuwa walizaa balaa kwa taifa letu sio kizuri maana hakuna mzazi anayeweza kuzaa mtoto alafu akaomba Mungu aje kuwa muuaji.

Kifungu cha 23 cha kanuni ya adhabu kimetamka wazi kuwa nani atakuwa mshiriki wa tendo la jinai. Anaweza kuwa mtu pekee au kikundi.

Kama Hamza aliamka peke yake bila kushirikisha ndugu zake na kisha kuua raia wema, basi familia yake isiingizwe kwenye uhalifu aliofanya Hamza.
 
Mtoto wa nyoka ni nyoka sio kauli inayoingia kila mahala. Maana baba wa mvuta bangi sio mvuta bangi labda mpaka nae awe mvutaji.

Kitendo cha kulaumu wazazi wa marehemu Hamza kuwa walizaa balaa kwa taifa letu sio kizuri maana hakuna mzazi anayeweza kuzaa mtoto alafu akaomba Mungu aje kuwa muuaji.

Kifungu cha 23 cha kanuni ya adhabu kimetamka wazi kuwa nani atakuwa mshiriki wa tendo la jinai. Anaweza kuwa mtu pekee au kikundi.

Kama Hamza aliamka peke yake bila kushirikisha ndugu zake na kisha kuua raia wema, basi familia yake isiingizwe kwenye uhalifu aliofanya Hamza.
We pumbavu usitumie nembo ya Chadema kueneza Upumbavu

Moderators You need to Rethink
 
Sirro amechoka apumzishwe akalee wajukuu wake
 
Angekuwa under 18 wazazi wangelaumiwa.

Hata sie wazazi wengine tuna watoto ambao tabia zao walikoziokota tunabaki tukishangaa tena ni watu wazima.

Na hao maboss hasa wa huo upande wa afande wana watoto wao wengi ni wezi, wala unga, bangi wasiomwogopa hata Mungu, je tuseme nao walizaa watu wa hovyo hovyo.

Mwambieni kamanda mdomo huumba na asipofuta maneno kizazi chake kitakuwa cha hovyo over and over.
 
Wazazi lazima wawe responsible kwa kulea gaidi watu wanasema alikuwa anapotea miezi kadhaa hajulikani anapoenda
 
We pumbavu usitumie nembo ya Chadema kueneza Upumbavu

Moderators You need to Rethink
Sasa upumbavu wake ni upi?yaani huyo hamza alikuwa mtu mzima, na tena mwana ccm mtiifu, kwani kila mtu aliyewahi kuishi naye/aliyefanya naye kazi anashangaa, kwani alikuwa mtu safi tu, hawajui nini kimemkuta, leo eti wazazi wake/ndugu zake nao waonekane ni adui wa jamii?!!hapana sio sahihi!!tusitake kuaminishwa hivyo, vyombo vya ulinzi vinatakiwa viende mbali zaidi vijue nini hasa kilipelekea afanye hivyo!!huyo ni muhalifu kama mhalifu mwingine tu, mbona kwenye matukio mengine huwa familia za wahalifu hazinyooshewi vidole, kama hazina uhusiano wa moja kwa moja na uhalifu uliotendeka?!!.ASITAKE KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA KARANGA
 
Back
Top Bottom