🤣🤣🤣🤣Nimekugawa! experience Yako ni kubwa.sidhani,kwakweli Tangu niibiwe Dekio langu na kila mtu anasema hajui na nililianika kwenye kamba, staki tena kushare kamba za kuanika nguo.
Mi niambiwe tu na nihakikishiwe Zamu ya usafi wa choo hapo itakuaje,maswala napangwa zamu hadi Jumapili wakat nakua sipo staki.
Ameanza kujielewa.Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu (takriban $10,980) sawa na Tsh. 25,726,140/= ( Milioni 25 za Kitanzania ) kwa mwezi!
Jumba hilo lenye ukubwa wa mita za mraba 43,000 linaelezwa kuwa lina vyumba saba vya kulala, bafu tisa, mabwawa mawili ya kuogelea, (Swimming Pool) uwanja wa mpira wa miguu, na kituo cha mazoezi ya viungo vya hali ya juu (Gym) na baadhi ya miongoni mwa maeneo mengine ya kifahari kama chumba cha Cinema na mengine.
Jumba hilo la Kifahari la Ronaldo linaelezwa kuwa ni miongoni mwa majumba ya Kifahari zaidi huku likiwa na paking ya magari ya ndani.
View attachment 2591509
We nae na Huo uislam.Ameanza kujielewa.
Nikisikia anakuwa Muislam sitoshangaa.
Unaweza kukuta ni bonge la Kafiri bobevu lakini sababu tu ya uchawa limeamua kujitoa ufahamu wa kidini.We nae na Huo uislam.
Yaani yeye kila kinachoongelewa socially, politically, economically, biologically yeye utasikia UISLAM what the hell?kila kitu kiwe na kiasiUnaweza kukuta ni bonge la Kafiri bobevu lakini sababu tu ya uchawa limeamua kujitoa ufahamu wa kidini.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hahah Mbuyu ulianzaga kama mchichaa😂😂🤣🤣🤣🤣Nimekugawa! experience Yako ni kubwa.
Je uhakika wa jirani sio msumbufu wa kuomba omba vimchuzi??
Dalali aulizwe kabisa dari ipo??sio jirani mtukutu kazi yake kutega sikio mida ya wanga au kupanda kabisa kuangalia Darby bila ticketsHahah Mbuyu ulianzaga kama mchichaa😂😂
Ndio mana staki vibaraza vya ku share, Majirani wanaopanda ndoo za maji mlangoni kwangu ndio staki.
mwenye nyumba aseme kabisa Mimi chumba changu n kipi, mwanzoni au kule mwisho, cha kati kati sikitaki.
Mambo hayo nimeyakataaa, ujanja huu naujua huuu😂Dalali aulizwe kabisa dari ipo??sio jirani mtukutu kazi yake kutega sikio mida ya wanga au kupanda kabisa kuangalia Darby bila tickets
Inafikirisha sana mtu bongo kupangisha nyumba $5000 per month, payment term ni annually.....😅😅😅Afu Bongo kuna nyumba za hovyo wanapangisha kwa nusu ya hiyo bei kule Masaki
Acha basi 😅😅😅Hapo umetupiga kamba million 25 ni hela ndogo sana labda useme billion 25 ili twende sawa.
He sourced it right.Hiyo sio kodi ya jumba la kifahari,angalia vizuri source yako!
[emoji23][emoji23]Nipe namba yake niongee nae mwenyewe....nyie madalali hamuaminiki