Cristiano Ronaldo Apata Mapacha Wa Kiume

ametumia surrogate parent. pia demu wake kampiga mimba. cr7 hatakagi ujinga
 
Samahani mkuu si nilisikia huyu jamaa ni shoga???!!!Au kuna mtu anamzalishia hawa watoto???
Kwani mashoga hawana uwezo wa kuzalisha? Mbona wapo walooa na wanaendelea ku.....wa.
 
Samahani mkuu si nilisikia huyu jamaa ni shoga???!!!Au kuna mtu anamzalishia hawa watoto???
kuna mashoga wanagongwa na kugonga .. ndiyo maana siku hizi tunaogopa kweli kusikia mpenzio yupo kwa rafiki yake mara kwa mara mmh hamuaminiki tena
 
Si kweli. Hater wanamzushia tu
Pia kuna mashoga wenye nguvu zao wameoa na wanafamilia yenye watoto wa kutosha
Wengi mno, Hasa Dar, tena watoto wa mjini na wafanyakazi wenye vyeo vya ukweli na elimu imepanda sana, ni ukweli usiofichika, hii dunia ya sasa kila kitu kipo..Kifupi tunao wengi bongo, wana wake na wamezaa, maisha yanakwenda tu, ni maisha ya jabu kwetu ila kivyao poa tu..
 
Wapo watakaobisha ila ukwwli ndio huu uusemao
 
Mkuu ina maana hujasikia mashoga wanapigana hadi mieleka??!!!!!Afu sidhani kama kupiga shuti lazima ukaze matako.
Unajidhalilisha mkuu, mieleka ni bongo movie, script
 
Samahani mkuu si nilisikia huyu jamaa ni shoga???!!!Au kuna mtu anamzalishia hawa watoto???
hao ni haters wanachafua jina la jamaa na bado girlfriend wake ana mimba soon tu atapata mtoto wa4
 
Hivi mkuu shoga ana uwezo wa kukaza makalio na kuachia "mashuti" anayoyaachia Ronaldo?

Sina uhakika kama hawa watu waliotepeta wanaweza kufanya ili kazi kule uwanjani..
mwisho watasema ozil naye shoga kisa macho yake
 
Mkuu ina maana hujasikia mashoga wanapigana hadi mieleka??!!!!!Afu sidhani kama kupiga shuti lazima ukaze matako.
basi wewe hujacheza Mpira.. ukianza ushoga lazima kazi zitetereke uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…