Cristiano Ronaldo Aveiro Dos Santos. Heri ya kuzaliwa

Cristiano Ronaldo Aveiro Dos Santos. Heri ya kuzaliwa

Gautten Potten

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
1,642
Reaction score
3,426
R.jpeg
05 February 1985
05 February 1992.

Wote Hawa ni wazaliwa wa tarehe hizo na miaka hiyo.

Wote Hawa wanacheza eneo moja kiasili ( Winger ) kutokana na mahitaji na mifumo wamejikuta wakiangukia Ushambuliaji.

Mmoja alinukuliwa akisema " Hana nguvu tena za kupigana katika level za ushindani" Hii ni kabla ya kuondoka Ulaya miaka 2 iliyopita.

Mmoja bado anakomaa na panapo majaaliwa 2026 ndiye mshindi wa World Cup.
dynamic-vector-illustration-cristiano-ronaldo_812426-147432.jpg


Nawazungumzia Cristiano Ronaldo Aveiro Dos Santos -- The Machine na NjR world Neymar Junior.
OIP.jpeg

Walizaliwa siku Kama ya Leo miaka kadhaa iliyopita.

Kila mmoja kaacha muhuri wake katika ulimwengu wa kabumbu ya Continental yaani mpira mavitu.
 
Eti wewe nanii em rudia hapo ndio mshindi wa nini!!. We ulisikia wapi we ulisikia wapi!!?
 
Kheri ya kumbukizi ya kuzaliwa mchezaji bora kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka. The GOAT Ronaldo. Miaka 40 sasa
 
CR 7 the.Greatest, huyu jamaa ni motivational sanaa hata kwenye maisha yetu ya kawaida yatupasa tujitume kwa bidii ili tufikie malengo.
Funzo jingine, Jamaa muda mwingi yuko na Familia yake tu, Hana muda wa kula bata za kijinga na marafiki wala hanywi pombe wala kujichora Tattoo.

CR7 ✊️
 
Back
Top Bottom