Cristiano Ronaldo na Jacob & Co wazindua saa ya thamani ya Milioni Mia tatu

Cristiano Ronaldo na Jacob & Co wazindua saa ya thamani ya Milioni Mia tatu

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram mshambuliaji matata christiano Ronaldo alimaarufu CR-7 kwa kushirikiana na Kampuni ya rafiki yake wa zaidi ya miaka 20, Jacob & Co amezindua saa mpya za kifahari zilizotengenezwa kwa ushirikiano, sahihi na Alama spesheli za Ronaldo.

Bei ya Saa inaanzia Tzs 66,333,000.00 mpaka TZS 343,507,000.00 kutokana na Model.

Binafsi nampongeza Ronaldo na wote watakaoweza kumiliki saa hizo ambazo nyingi zitakua ni limited edition (zitatengenezwa chache).

Screenshot_20221123-184431_Samsung Internet.jpg


Screenshot_20221123-184234_Samsung Internet.jpg


Screenshot_20221123-184238_Samsung Internet.jpg
 
Mwamba mpira umemshinda,kaamua akomae kivingine aendelee kupata ugali
 
Mwamba mpira umemshinda,kaamua akomae kivingine aendelee kupata ugali
Hakika Mwamba anaenda na upepo..navyowajua mashabiki zake zote hizo zitanunuliwa halafu zitanza kuwa resaled for Millions of Dollars...
 
Ni Luxury Brand mkuu sio basic need so haiji na ugali wala bati la kuezekea 😅
Mbona unakimbilia ugali? mabati? You must be hopeless! What are the intrinsic extraordinary functions of that watch?
 
Back
Top Bottom