Cha zaidi hapo labda ni vijichengachenga vya madini ya thamani kama dhahabu na almasi baasi!Ni Luxury Brand mkuu sio basic need so haiji na ugali wala bati la kuezekea 😅
Mbona unakimbilia ugali? mabati? You must be hopeless! What are the intrinsic extraordinary functions of that watch?Ni Luxury Brand mkuu sio basic need so haiji na ugali wala bati la kuezekea 😅
You deserve to be blocked from my vicinity!Yes mimi ni hopeless
Acha upimbi,huyo ni mfanya biashara nje ya mpiraMwamba mpira umemshinda,kaamua akomae kivingine aendelee kupata ugali