BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Hivi kweli Agentina kwa mpira ule ndio wa kumfunga Croatia. Ila Croatia nao jana sijui walikula maharage ya wapi. Pasi ngoja tusubiri inyeshe tuone panapovuja hasa akiingia Mfaransa fainali ( na ataingia tu).