Croatia yaitandika San Marino 10 - 0

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hili ni onyo kwa timu vibonde kutaka kujipima ubavu na wababe .

Hadi mapumziko ubao ulikuwa unasomeka 6 - 0 , shukrani kwa mabao matatu ya Mario Mandzukic .

Onyo - soka ni kazi , huwezi acha , usijaribu utadhalilika .
 
πŸ˜€πŸ˜€ Kama ni Timu ye2 ingepigwa ngapi apo?

Nakumbuka hata Argentina ishawahi kuipiga goli 12-0 Equador W/C..na equador sio timu ndogo.
 
Hili ni onyo kwa timu vibonde kutaka kujipima ubavu na wababe .

Hadi mapumziko ubao ulikuwa unasomeka 6 - 0 , shukrani kwa mabao matatu ya Mario Mandzukic .

Onyo - soka ni kazi , huwezi acha , usijaribu utadhalilika .
Hiyo timu iliyofungwa ilikuwa aina kipa au walicheza nusu?
 
πŸ˜€πŸ˜€Hata mi naona mkuu, siku hiyo na mimi nitahamia timu pinzani niepukane na aibu tutayoipata
Msije kuthubutu kupeleka vibonde hivi kuchuana na wazungu , aibu mtakayopata hamtoisahau .
 
Hahaahaha..ukikutana na watu kama wajerumani wana roho mbaya wale kwenye mchuano usio wa kirafiki wanaweza kufanya tukio la aina yake dhidi ya taifa letu[emoji23]

πŸ˜€πŸ˜€ Wale ni machine gun hawana huruma na binaadamu wenzao,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…