Cross Examination: DC Ubungo vs Wakili

Cross Examination: DC Ubungo vs Wakili

Swahili AI

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
10,174
Reaction score
89,364
Cross Examination Day;

Wakili:
Mhe. Mkuu wa Wilaya ijuze mahakama kiwango chako cha elimu.

Mkuu wa Wilaya:
Shahada

Wakili:
Ieleze mahakama majukumu yako kwa kifupi

Mkuu wa Wilaya:
Mwakilishi wa Mhe. Rais Wilaya ya Ubungo na Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Wilaya

Wakili:
Je! Unawafahamu madada 36 walioko hapa mahakamani

Mkuu wa Wilaya:
Siwafahamu

Wakili:
Ilikuwaje ukaamuru Polisi wawakamate na kuwashikilia mahabusu?

Mkuu wa Wilaya:
Ni 'madada Poa'

Wakili:
Mhe. Mkuu wa Wilaya ieleze mahakama unamaanisha nini unaposema hawa ni 'Madada Poa?'

Mkuu wa Wilaya:
'Madada Poa' ni wanawake wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili yao.

Wakili:
Je! Ulijuaje madada hawa wanafanya hiyo biashara uliyoisema?

Mkuu wa Wilaya:
Niliwakuta wamesimama usiku Sinza

Wakili:
Je! Ulipowakuta walikuuzia wewe miili yao

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Je! Unaweza ukataja majina ya wateja (wanaume) waliokuwa wananunua miili ya hawa madada?

Mkuu wa Wilaya:
Sikuwaona.

Wakili:
Unafahamu maana ya biashara

Mkuu wa Wilaya:
Biashara ni shughuli ya kuuza na kununua bidhaa au huduma

Wakili:
Je! kusimama Sinza usiku ni kufanya biashara

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Je! Kusimama Sinza usiku ni kosa la Jinai?

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Je! Unafahamu kuwaita madada hawa jina ulilowaita na kuwaweka kwenye Vyombo vya Habari ni kuwadhalilisha na kutweza utu wao mbele ya waume zao, familia zao na umma kwa ujumla (Defamation)?

Mkuu wa Wilaya:
Ndio

Wakili:
Je! Unafahamu kuwakamata watu na kuwashikilia rumande Polisi kwa muda wa ziadi ya siku tano pasipo kuwapeleka mahakamani ni kinyume cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura 20?

Mkuu wa Wilaya:
Najua

Wakili:
Kwa hiyo umefanya makusudi kuvunja Sheria za nchi?

Mkuu wa Wilaya:
Hapana. Nilikuwa nasafisha Wilaya yangu ya Ubungo

Wakili:
Je! Unamaanisha hawa madada ni takataka?

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Mhe. Hakimu sina maswali zaidi
 
YAAANI NA AKILI ZENU TIMAMU MNATEGEMEA HAO WADADA WATASHINDA HIYO KESI KABISAAAAA
 
YAAANI NA AKILI ZENU TIMAMU MNATEGEMEA HAO WADADA WATASHINDA HIYO KESI KABISAAAAA
Wanashinda mchana kweupe ijapokuwa kesi imetajwa tu na itaanza kusikilizwa mwezi ujao tarehe 24.
 
Cross Examination Day;

Wakili:
Mhe. Mkuu wa Wilaya ijuze mahakama kiwango chako cha elimu.

Mkuu wa Wilaya:
Shahada

Wakili:
Ieleze mahakama majukumu yako kwa kifupi

Mkuu wa Wilaya:
Mwakilishi wa Mhe. Rais Wilaya ya Ubungo na Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Wilaya

Wakili:
Je! Unawafahamu madada 36 walioko hapa mahakamani

Mkuu wa Wilaya:
Siwafahamu

Wakili:
Ilikuwaje ukaamuru Polisi wawakamate na kuwashikilia mahabusu?

Mkuu wa Wilaya:
Ni 'madada Poa'

Wakili:
Mhe. Mkuu wa Wilaya ieleze mahakama unamaanisha nini unaposema hawa ni 'Madada Poa?'

Mkuu wa Wilaya:
'Madada Poa' ni wanawake wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili yao.

Wakili:
Je! Ulijuaje madada hawa wanafanya hiyo biashara uliyoisema?

Mkuu wa Wilaya:
Niliwakuta wamesimama usiku Sinza

Wakili:
Je! Ulipowakuta walikuuzia wewe miili yao

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Je! Unaweza ukataja majina ya wateja (wanaume) waliokuwa wananunua miili ya hawa madada?

Mkuu wa Wilaya:
Sikuwaona.

Wakili:
Unafahamu maana ya biashara

Mkuu wa Wilaya:
Biashara ni shughuli ya kuuza na kununua bidhaa au huduma

Wakili:
Je! kusimama Sinza usiku ni kufanya biashara

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Je! Kusimama Sinza usiku ni kosa la Jinai?

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Je! Unafahamu kuwaita madada hawa jina ulilowaita na kuwaweka kwenye Vyombo vya Habari ni kuwadhalilisha na kutweza utu wao mbele ya waume zao, familia zao na umma kwa ujumla (Defamation)?

Mkuu wa Wilaya:
Ndio

Wakili:
Je! Unafahamu kuwakamata watu na kuwashikilia rumande Polisi kwa muda wa ziadi ya siku tano pasipo kuwapeleka mahakamani ni kinyume cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura 20?

Mkuu wa Wilaya:
Najua

Wakili:
Kwa hiyo umefanya makusudi kuvunja Sheria za nchi?

Mkuu wa Wilaya:
Hapana. Nilikuwa nasafisha Wilaya yangu ya Ubungo

Wakili:
Je! Unamaanisha hawa madada ni takataka?

Mkuu wa Wilaya:
Hapana

Wakili:
Mhe. Hakimu sina maswali zaidi
Dah nimechenga sina mbavu,hayo maswali ya mawakili yaani unajidumbukiza mwenyewe automatically.
Eti kusimama sinza ni kufanya biashara,mkuu wa wilaya kaonekana kilaza
 
WANASHINDAJE BASI TUTAKUWA NA MAHAKIMU WA HOVYO KUWAHI KUTOKEA KAMA WATAWAPA USHINDI HAO WAHUNI
MKUU KESI YOYOTE KINACHOFANYA MTU AFUNGWE NI USHAHIDI SIO HISIA ZAKO.
SASA UTATHIBITISHA VIPI KUWA MTU FULANI ALIKUWA ANAUZA NYETI YAKE MAANA YAKE HAD8 NA WEWE UWEPO KITANDANI WAKATI TUKIO LINAFANYIKA NA KITENDO CHA WEWE KUWEPO KITANDANI UNAGEUKA KUWA MNUNUZI PIA.
 
Back
Top Bottom