UndercoverTrader255
Member
- Jul 8, 2021
- 88
- 167
Details zaidi watakuja watu konki kwenye magariMember andika vizuri mkuu.
Haifikii range mzee ipo kwenye showroom za kenya bei yao ukiexchange kwa Tsh sawa na 50mln ila sio kumenya maganda ya kumenya bei ni juu zaid ila showroom za bongo hamna sijaonaAnasifia nzuri lakini bei yake sio mchezo Bora ukanunua range rover tu
Kamnunulie yule demu wakoMember andika vizuri mkuu.
Angalia review yakeHizi gari sijapenda grill zake.. View attachment 2261363
Mie nimeongela binafsi grill zake hazijanivutia , najua ni gari nzuri sanaAngalia review yake
Angalia royal salon 2013Mie nimeongela binafsi grill zake hazijanivutia , najua ni gari nzuri sana
Royal salon sijawai zipenda kabisaa.. Crown nazozipenda ni Athlete na Majest periodAngalia royal salon 2013
Grill kubwa sana eeh😂 kama la kufanyia babecue! Sema ndio design language ya Car manufacturers wengi from 2013 itakubidi uzoee tu.Hizi gari sijapenda grill zake.. View attachment 2261363
Ila ya crown haijapendeza hii wangeendelea kumuachia Lexus LS ndio zina mfit vizuri kutokana ma shape yakeGrill kubwa sana eeh😂 kama la kufanyia babecue! Sema ndio design language ya Car manufacturers wengi from 2013 itakubidi uzoee tu.
Yeah ila it will grow into usIla ya crown haijapendeza hii wangeendelea kumuachia Lexus LS ndio zina mfit vizuri kutokana ma shape yake