Gabbimakini
Member
- Jun 9, 2020
- 19
- 7
CROWN ATHLETE No.DRW cc 2490 Mileage covered 117222 Location Dar es salaam Posta.
Bei ni 12M, maongezi yapo piga simu 0688351006
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana boss wangu,hyo ni fixed8m mkuu..kama itakufaa tafadhali tuwasiliane
Sawa sawa..kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu 0688351006..be serious kazi ni uhakika na haina kipengeleNaona taa ya nyuma ya kushoto imegongwa na tairi ya nyuma ya kulia ni kipara.
Sawa sawa..kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu 0688351006..be serious kazi ni uhakika na haina kipengele
Hapana boss wangu,hyo ni fixed
11M top price.Basi futa maneno "mazungumzo yapo pia..."
Nashukur sana mkuu,advice taken.Muuzaji wa gari hii ni biashara unatangaza.Jitahidi sana kuvutia wateja wako kwa kutoa picha za kutosha na maelezo sahihi. Wateja huvutiwa sana na jinsi muuzaji anavyonadi bidhaa yake. Jifunze kwa dealers wa magari wengine nchini na nje ya nchi.Asante
Mkuu kama wewe ni Dalali utafika mbali sana. Wenzako wakishauriwa hapa wanatukanaNashukur sana mkuu,advice taken.
Hapana boss wangu,naweka picha chache mtu akiwa interested akinichek nampa picha zote akiridhika tunafnya kazi..ila nadhan itakua ni vzr pia nikiweka picha zote,advice taken.Kazi inakuaje ya uhakika wkt umeweka picha 1?Au gari ni ya wizi hii.
Kwanini nikasirike akat naweza kuignore kitu kinachoniwazia sio,nmeliweka gari mtu atakayehitaj atancheki nampa na full documents pamoja na transfer of ownership kufnya namsaidia,dhumni ya kulipost gari ni kuliuza na si maneno mengine mkuuHilo Gari litakuwa la wizi, Mbona mleta mada hakasiriki Kama wenzake wakiulizwa maswali
Post inasema maongezi yapo, na huyu member unamjibu ni fixed, hapo umeniacha mkuu.Hapana boss wangu,hyo ni fixed
Nmemjibu mwsho ni 11M tena boss...Post inasema maongezi yapo, na huyu member unamjibu ni fixed, hapo umeniacha mkuu.
PoaNmemjibu mwsho ni 11M tena boss...
[emoji23][emoji23][emoji23]Hilo Gari litakuwa la wizi, Mbona mleta mada hakasiriki Kama wenzake wakiulizwa maswali
Nimefurahishwa na ustaarabu wa mtoa mada[emoji123]