Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kuna kipindi kinachofanywa na Crown FM cha Salim Kikeke cha mahojiano ambacho kikishafanyika huwekwa YouTube kwa kumbukumbu.
Inavyosemekana mahojiano ya Kikeke na Afande Muliro wamechimbwa biti wasirushe kupitia YouTube wala kokote.
Je ni kweli, na kama ni kweli nini sababu?
Uhuru wa vyombo vya habari hupo wapi?
====
UPDATE: Video imerudishwa na hii ni sehemu ya Mahojiano ya video hiyo.
Inavyosemekana mahojiano ya Kikeke na Afande Muliro wamechimbwa biti wasirushe kupitia YouTube wala kokote.
Je ni kweli, na kama ni kweli nini sababu?
Uhuru wa vyombo vya habari hupo wapi?
====
UPDATE: Video imerudishwa na hii ni sehemu ya Mahojiano ya video hiyo.