Ni za kwenye bonetSubirini uzi wenu unaandaliwa!!
Hivi headlamp huwa ni zipi kwenye hiyo juke?
Ni zile za round au zile za kwenye bonet?
Magari marefu kama haya yanini bwana. Gari linachukua nafasi mjini hadi parking [emoji2405] inakuwa mtihani kupata.Mimi basi nachagua gari hata nikipata toyota baloon kama hizi inanitosha, mambo ya kuponda gari nawaachia wenye pesaView attachment 1983634
Labda Vita ya washabiki kwasababu wamiliki wengi wa European cars wana Toyota pia kwasababu ndio walipoanzia na ndio nyumbani. Ila wapiga kelele wengi ni wamiliki WAPYA wa Toyota hawajui ladha ingine yoyote....wangejaribu hata Nissan ili wajue magari.Hahahahahah vita ya hawa watu huwa inaniacha hoi
Kelele za mpangaji hazizuii mwenye nyumba kulala. Sisi Team Germany akina Crown ni michepuko yetu. Siku wife kazingua natafuta mchepuko naenda nao chimbo natoa stress! ILA ukipata mwaliko classic,shughuli zote za kifamilia na mambo kama hayo wife ndio anahusika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wazee wenzangu wa kuweka mzigo nadhani mnausoma huu uzi kwa machungu.
kama nawaona ivi mkienda kutafuta odd 6870 stake 1000 [emoji3][emoji3]
😀😀😀😀😀😀.. Kuna watu ni pinga pingaLabda Vita ya washabiki kwasababu wamiliki wengi wa European cars wana Toyota pia kwasababu ndio walipoanzia na ndio nyumbani. Ila wapiga kelele wengi ni wamiliki WAPYA wa Toyota hawajui ladha ingine yoyote....wangejaribu hata Nissan ili wajue magari.
Ulipewa bure hio Gari?Na sisi wenye nissan Juke tunareplay wapi?
Hiyo LC ya 2022 yenyewe ni naturally aspirated ?Ndio maana Land Cruiser ya 2022 inawachapa wapinzani kama wamesimama! Sio Escalade,Ford,Chevrolet,Nissan wala mpuuzi yeyote ambaye anamzingua kwenye Drag Race!
Labda wenye superchargers ila kwa Naturally aspirated hamna kiande anaesumba.
Bei yake Kama ya IST tu.Mkuu hiki chuma cha jerumani bei yake ikoje?
Njoo nikupe lift kwenye VW golf 8 gti yangu dingilai uone raha ya ulaya,kitu spidi 360,halafu mziki mkubwaaaa wa kutoka haraman kadon,najua vile unayajua magari ila hutarudi tena misri (japan)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Crown ni Ndele inayotembea [emoji23]
Umesema sawa kabisaaaa yaani kuilinganisha crown na mali ya mjeremani ni utani wa ngumi kabisaaa yaan kibibi na binti mrembo kuongelea pumzi ya kwa 6×6Crown nzuri kwenye segment yake, lakini msiilete kwenye level za kina 3 series, A4 au C Class.
Muipambanishe na wakina Vero, au Mark X huko sio Mjerumani.
Ndio hayo matatizo ya kuhadithiwa khs magari,golf 8 yenye speed 360 inapatikana nchi gani?Njoo nikupe lift kwenye VW golf 8 gti yangu dingilai uone raha ya ulaya,kitu spidi 360,halafu mziki mkubwaaaa wa kutoka haraman kadon,najua vile unayajua magari ila hutarudi tena misri (japan)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaongea magari unayoyaona tanzania tuu,mzee hiyo lc 300 au ndugu zake wanakimbizwa vibaya sanaaaa na huko ulaya hayajulikani achia mbali hapo South Africa,unaweza tembea joberg mpaka Pretoria ukaiona LC moja 1 tuuu,mzee Toyota ipo kwa ajili ya maskini na jamii za wapenda kubinuka kwenye michanga kama uarabuni,ila maisha ya wenye hela yapo yametulia kwenye Landlover, Benz, BMW, Audi,Porsche na ndugu zao wengine wa ulaya huko,mimi kuna gari mpaka hua nabaki mdomo wazi sijawahi ziona si tanzania wala East Africa hiii nilikotembelea,Ndio maana Land Cruiser ya 2022 inawachapa wapinzani kama wamesimama! Sio Escalade,Ford,Chevrolet,Nissan wala mpuuzi yeyote ambaye anamzingua kwenye Drag Race!
Labda wenye superchargers ila kwa Naturally aspirated hamna kiande anaesumba.
Acha izo. 4 cylinders kwaajili ya watoto.Hatari 320i hi chuma naipenda sana
Acha izo. 4 cylinders kwaajili ya watoto.
🤑🤑🤑Au hii mashine View attachment 1986702