Cryonics provides cryonic suspension and storage services for human and pet patients

Cryonics provides cryonic suspension and storage services for human and pet patients

Tape measure

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,981
Reaction score
3,604
Sijui ni technology ama uwezo wa maulana anataka kutufumbulia kidogo siri za uumbaji??

Kuna hii technology inaitwa cryonic. Technology hii kwa mara ya kwanza ilianza 1976 mpaka sasa watu 100 wameshapatiwa hii tiba adimu yaani ya nusu kifo.

Hutumika kwa wagonjwa ambao wana magonjwa yasiyokua na tiba kwa wakati huo mfano saratani.

Mgonjwa anahifadhiwa katika mashine kwa miaka kadhaa ambapo wanagandishwa katika joto la -100. Na kuweza kurudishwa katika hali ya kawaida kwa muda then anagandishwa tena mpaka pale tiba ya ugonjwa itakapopatikana.

Bigup to all active scientists around Europe. Africa baadae sanaaaa. Perhaps one day YeS! Medication for many seriously and unknowingly diseases could be found.
 
watu wanacheza hadi na uhai... inaonyesha binadamu ni kiumbe cha aina yake they pause life like cd! haya mambo yanaonyesha nguvu ya akili aliyonayo binadamu.
huku kwetu ni kama tumepumbazika flani hivi lkn naamini tunaweza..
 
bado sana kuijua roho!
its just a sip on that iceberg
 
Tekniki hii nadhani ni sawa na ile inayotumika kuhifadhi sperm cell kwaajili ya artificial insermination kwani inasadikika sperm huweza kukaa hata miaka zaidi ya 100
 
Hata wafanyeje binadamu Mungu akiamua ameamua hawafurukuti
 
watu wanacheza hadi na uhai... inaonyesha binadamu ni kiumbe cha aina yake they pause life like cd! haya mambo yanaonyesha nguvu ya akili aliyonayo binadamu.
huku kwetu ni kama tumepumbazika flani hivi lkn naamini tunaweza..
Vipaumbele vyetu ni kudeal na wanaoficha sukari kwanza.
 
Back
Top Bottom